MpiganajiWetu
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 107
- 20
Na mwaka huu mnalo, mjeshi hatakiwi kugoma, kozi walokupangia ndo hyo hyo uisome hakuna kuhoji wala kugoma; maandano ndo hayatakiwi kabisa we komaa tu.:majani7:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna dogo kitaa analianzisha kwenda kwa mkuu wa mkoa eti TCU imemfanyia umafia kumwekea program tofauti na alizochagua,so walioomba pitieni ili mulianzishe wote
kama umeandikiwa NO afu unakomaa hutoi/hubadili,,,Wadau kama eligibity nimewekewa NO inamaanisha sitapata au??..nifanyeje
ha ah aha aha aaa a watampata wapi?wakimfata dogo haonekaniHuyo hajasikia kauli ya mheshimiwa pinda???....anataka kuvunjwa miguu chuo aende na baskeli ya viwete sio??....hahaaaa
I meant wameweka courses ambazo applicants hakuzichagua
hv kweli hawa na tcu au ni mchezo? mana nimeingia tena nakuta wamechange tena tofauti na ilivokuwa usiku wa jana
TCU imekosa mwelekeo kama Wizara ya elimu ilivyokosa mwelekeo
Hili ni janga jipya,mwaka huu majanga matupu!!!
Wadau kama kichwa kinavojieleza....cjui hili mnalielewaje??......nawasilisha
mi nimepangwa BSC IN PETROLEUM ENG
mi nimepangwa BSC IN PETROLEUM ENG
CBG ndio hawasomi ualimu? Kwa akili hizo wamefanya makosa kukupanga chuo. Ungefaa urudie masomo sekondari
Hili ni janga jipya,mwaka huu majanga matupu!!!