AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Content za masomo yenyewe inatakiwa uwe na uelewa na hesabu mkuu.....kwani IT ndio haitakiwi ujue hesabu au? IT ni science pure
ndugu nahici umeshindwa kuelewa kitu.
kuna vigezo vya TCU na vigezo vya chuo hucka.
TCU past years vgezo vyao vlkuwa ni cut off points
2.5 not otherwize.
but kuna vigezo toka vyuo hucka kuhusu kozi hucka
na hapo ndipo mkanganyiko unapoanzia.
inorder to be enrolled by TCU u must have two
principle plus subsidiary pass. nahc unachanganya
kat ya vigezo vya TCU na chuo hucka.
Africa
Yan mi hata ceilew kiukwel hi elimu yet
Mkuu mwanafunzi kutokusoma adv mathematics haimaanishi kwamba mwanafunzi huyo hana uelewa na hesabu, tujifunze kutoka vyuo vya kimataifa huko nje hawana complication za ajabu ajabu kama hizi.