TCU selection hizo!


na what if,let say capacity ya hyo kozi ni watu 50,walioweka as 1st choice ni 50,na kati ya hao watu 50,kuna ambae ana dv 3.17 ingawa ana 2 principals,na hyo kozi ina competition sana let say ni Baf ya mzumbe,hawatachakachua kweli huyo mwenye 3 akapgwa chini na akachukuliwa mwenye 1 or 2 hata kama aliiweka hyo kozi ya mwisho?
 
Jamani madogo mwaka huu mna hamu na chuo duuh! mtapata tu jamani,,kama wakitangaza si mtasikia,after all leo ndo tumetoka kufanya final touches katika cd za selected students
 
Jamani madogo mwaka huu mna hamu na chuo duuh! mtapata tu jamani,,kama wakitangaza si mtasikia,after all leo ndo tumetoka kufanya final touches katika cd za selected students

mkuu,ebu tuweke wazi,vinginevyo na wewe tutakuchukulia maghumashi tu kama hawa wengne wanaoropoka humu.
 
Jamani madogo mwaka huu mna hamu na chuo duuh! mtapata tu jamani,,kama wakitangaza si mtasikia,after all leo ndo tumetoka kufanya final touches katika cd za selected students

amna mkubwa,cyo kwamba 2nahamu xema mambo magumu xana,,pale kwnye priority n non priority.................watakaokosa majina vp!? Mkuu
 
pleas help me jaman kwan kuna majna ya waliokosa vyuo yametoka

APPLICANTS WITH MISSING
INFORMATION
INTO THE
2012/2013
ADMISSIONS
THROUGH CENTRAL
ADMISSION
SYSTEM.( tembelea www.tcu.go.tz utawaona,wako 197. Ila sio ndo wamekosa chuo,bali waliambiwa wajaze info missing kabla ya tar 6/8.
 

Tazama admission reguirements za hiyo kozi kama umemeet safi, kwani walioweke hizo minimum admission points wanaamini anaye kuwa nazo anauwezo wa kuisoma.
 
A-level hakuna sourcing kiivo so mcwashangae hawa 4m6 leavers kutoweka sources, wataelewa maana ya sourcing when they'll join univ.
 
Na je ikitokea umechaguliwa kozi ambayo huipendi sana kwenda kuisoma kwenye chuo husika unaweza badilisha kozi au ni vp?
 
Jamani vuteni subira,kuna watu wanapaswa kukamilisha info zao,wako 425(tembelea tcu.go.tz uone). Mimi nadhani ni hadi hawa watu wamalize ndo watangaze. Ngoja wengine tuende teachers college tukaonje maharage kwanza wakati tunasubiri tcu mambo yakae fresh.
 

kijana hapo kwenye red umenifurahisha sana inaonekana unawasiwasi hauta chaguliwa nini..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…