TCU warahisisha zoezi la kuona selection

TCU warahisisha zoezi la kuona selection

matokeo ya general nayatoa wap wakati nikiingiza namba zangu za 4m4 na majina yangu mawili ndo inajibu 'not found the aplicant either not selected or confirmed by institution?,nieleweshe ndugu

Andika Jina lako tu na Jina la babu
 
Valentino86, record ya salama hatib inasema hivi..

Record not found! ..!, The applicant is either not selected or has not yet been approved by the Institution

be patient
 
Last edited by a moderator:
Watu wa equivalent mnaangaika na nn tcu wametoa link leo kwenye website yao kama umechaguliwa utajikuta kule tena wametoa link rahis sana namba yako ya form 4 na majina yako kama umo unapata jina lako bila zengwe sasa nyie mnakalia not yet confirmed shauri yenu....TCU NDIYO KILA KITU KULE MZIZI WA FITINA

Profile ndio uhakika kwa taarifa yako kama profile hajaonyesha selected huko tcu huoni kitu kamwe lkn hii ni kwa diploma qulification tu
 
Watu wa equivalent mnaangaika na nn tcu wametoa link leo kwenye website yao kama umechaguliwa utajikuta kule tena wametoa link rahis sana namba yako ya form 4 na majina yako kama umo unapata jina lako bila zengwe sasa nyie mnakalia not yet confirmed shauri yenu....TCU NDIYO KILA KITU KULE MZIZI WA FITINA

duuuuuu we hujui.prof zinavyosoma ungejua usingewashaur watu waenfe kwenye prof
coz zngne znasema new selection is done
wait so some few hours duuuuuu.

hili zoez lkiisha ntaenda nikachek na BP maanaaa
 
duuuuuu we hujui.prof zinavyosoma ungejua usingewashaur watu waenfe kwenye prof
coz zngne znasema new selection is done
wait so some few hours duuuuuu.

hili zoez lkiisha ntaenda nikachek na BP maanaaa

Issue hapa ni uelewa ndio naona tatizo kubwa hasa kwa applicant wa diploma yaani message zinazotoke zinajitosheleza kabisa lkn siju hata kusoma mnakwenda fanyeje huko ka message ya mstari mmoja huielewi je masomo kumi utaweza kweli.

kuna kitu inaitwa guidebook wangapi mliipitia kabla ya application? min pass olevel ni nne gpa 2.7. chini ya hapo subiri tu msaada wa BRN
 
SOZYCHARLESFS0181/0029/2011Bachelor of Science with EducationOpen University of Tanzania (ODL)
 
Issue hapa ni uelewa ndio naona tatizo kubwa hasa kwa applicant wa diploma yaani message zinazotoke zinajitosheleza kabisa lkn siju hata kusoma mnakwenda fanyeje huko ka message ya mstari mmoja huielewi je masomo kumi utaweza kweli.

kuna kitu inaitwa guidebook wangapi mliipitia kabla ya application? min pass olevel ni nne gpa 2.7. chini ya hapo subiri tu msaada wa BRN

yaani hili unalolisema si Tatizo hatujakurupuka bwa mdogo ila kinachotuchosha sasa ucheleweshwaji kwan tunaham ya kujua tulikochaguliwa.
tusinge apply ka tupo chin ufauru tungejibrush kwanja elewa hivyoo
 
Profile ndio uhakika kwa taarifa yako kama profile hajaonyesha selected huko tcu huoni kitu kamwe lkn hii ni kwa diploma qulification tu

Aaahh wapi Mie jina liko TCU na profile yasema bado... Zubaa uzikwe mkuu
 
PUBLIC NOTES
Selection Process in Progress for those who are not yet selected...
Please be patient during this process, it will take few hours.
 
mdogo wangu yeye amechaguliwa udsm, thru nacte! ila kwenye profile yake hakuna kitu.........,kuna shida hapo!
 
Nimepata hii taarifa kwenye profile yangu (CAS)

PUBLIC NOTES

Selection Process in Progress for those who are not yet selected...
Please be patient during this process, it will take few hours.
 
Back
Top Bottom