Tcu

Tcu

Guys! Matokeo yatatoka tarehe 3 mwezi wa nane.. Nimepata hiyo taarifa kutoka kwao. I'm not sure! But hawajamaa wanatuboa mno!
 
Kichwa cha habari hakiendani na hoja,tetesi ipi?inaoneka huna taarifa yeyeote kuhusiana na mada,na unataka taarifa kutoka kwa wadau,sasa tetesi ipo wapi wakati wewe ndiyo unataka kujua?
 
Naungana na Vanpopeye,hawa jamaa walisema early of jully ila naona tunaenda agost sasa..Home kunachosha jamani..Hivi wao hawajui kama wanatushusha NZUKA?
mbona mwaka jana ni hivihivi,wanazuga na email unaweza zani tcu ni ya ukweli da! Kumbe magumashi.
 
aaah hata mie nimechoka km vp wa2rudishie 30000 ze2 maana ni waongo wakubwa!!!! Km wao waliweka deadline kwenye application zao iweje selection ziwe utata au hayo macomputer yao mabovu? Si waseme 2. Oya Van popeye andaa mabango 2andamane .
tutapgwa!
 
Kichwa cha habari hakiendani na hoja,tetesi ipi?inaoneka huna taarifa yeyeote kuhusiana na mada,na unataka taarifa kutoka kwa wadau,sasa tetesi ipo wapi wakati wewe ndiyo unataka kujua?
nilisahau
 
we unawaza kuandamana sasa hivi. Fanya maombi ili uchaguliwe kutokana na mtiririko wa course ulizoomba maana tcu bana.....utashangaa kukuta last option inakuwa first priority ilhali credit zinalipa ukilinganisha na competition iliopo!
hlo nalo neno
 
Vumilieni madogo, najua huo ni mzuka wakuingia ma'varsity mkiingia msilete usharobaro msome muikomboe nchi yenu
tangu nianze kusoma maandsh humu,kaka haya yako ni ya busara
 
Hivi ndivyo walivyoandika kwenye website yao

The Tanzania Commission for Universities (TCU) wishes to inform the general public that the selection process under the first round of applications through the Central Admission System (CAS) has been completed and names of selected applicants will be released on 4[SUP]th[/SUP] August 2011.
Following the completion of the first round, the second round of applications will be opened starting on 1[SUP]st[/SUP] August to 22[SUP]nd[/SUP] August 2011. This round will be opened to those who have not been selected during the first round and applicants who did not apply during the first round of application, which was closed on 31[SUP]st[/SUP] May 2011.
With the planned second round of applications, prospective applicants and the general public are advised to take note of important dates as shown below.

S/N
Activity
Date
1
Opening of the second round of applications
1[SUP]st[/SUP] August 2011
2
Closing of the second round of applications
22[SUP]nd[/SUP] August 2011
3
Release of names of selected applicants
3[SUP]rd[/SUP] September 2011



For further clarification please contact TCU through the following:

EXECUTIVE SECRETARY,
P O BOX 6562,
DAR ES SALAAM,
 
Wamesema tar 4/august ndo wanatoa hayo majina yenu,kwa maelezo zaidi tembelea web yao.
 
tangu nianze kusoma maandsh humu,kaka haya yako ni ya busara
kweli vanpopeyo umesaidia kuwashitua hawa mabwana jana nilikua na bosi mmoja wa tcu akaniambia madogo wameanza kudai ahadi yao ya kupewa matokeo yao mapema alisoma hapa jf, so 100% you are all right.
 
kweli vanpopeyo umesaidia kuwashitua hawa mabwana jana nilikua na bosi mmoja wa tcu akaniambia madogo wameanza kudai ahadi yao ya kupewa matokeo yao mapema alisoma hapa jf, so 100% you are all right.
<br />
<br />
ndo hvo kaka,ujue bora mtu umwambie kitu flan kitakua mwakan ila ucmwambie kesho alaf hyo kesho unakuja kumwambie keshokutwa!
 
Wamesema tar 4/august ndo wanatoa hayo majina yenu,kwa maelezo zaidi tembelea web yao.
<br />
<br />
senator mimi pata veve,leo umeamkaje?naona hujacrash sana teh teh teh
 
Kalakande nimekupata rutaaa!...OVER
Hivi ndivyo walivyoandika kwenye <a href="http://www.tcu.go.tz/info/news/view_news.php?id=51" target="_blank"><font color="#0000ff"><b><u>website yao</u></b></font><br />
</a>
<br />
<br />
 
asante kwa kunikosoa mkuu bt nimetolea mfano 2..ckua na maana mbaya as ukiangalia vyuo ka udsm,sua na mzumbe ndo madent weng huwa wanavishobokea.
<br />
<br />
kwani hujajua Muccobs ni Sua
 
Back
Top Bottom