Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Itunze idumu, itunze ikutunze.Hahahhahh babu
nimependa number 10
Sasa kwani mi mwanamke? Ila nachojua: Si kila mwanamke anyeenda bar ni malaya, si kila mwanamke anayenda bar anajiuza......kuna FM academia.....!L....o.....l... Ukimalza kuzimua uje useme na wanawake kunywea bar, je na wao wanafwata nini?..
Askofu, katika kanisa lako hakuna nafasi ya kazi ya mchangisha sadaka? Nna kipaji sana asee!Hongera babu,
nasikia siku hizi unaenda kanisani
ubarikiwe sana