Kilimo Kwanza
Member
- Jul 20, 2010
- 49
- 20
- Thread starter
- #21
Poa mkuu na kutumia kwa inbox number ya huyo sister, i hope atakuwa na contacts za huyo mteja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni fursa nzuri sana,ila ni kuomba Mungu wasije wakabadilikia njiani,maana kupanda mitiki kwa mwaka 2014 maana yake mkopo ni 2017 kitu ambacho si kibaya na wala si muda mwingi iwapo hawatabadili masharti yao!je wadau mnaweza kunipa mwanga miteak inastawi zaidi katika maneo au hali ya hewa ya namna gani?na kwa Morogoro ni ukanda upi inaweza kustawi zaidi?
Poa mkuu na kutumia kwa inbox number ya huyo sister, i hope atakuwa na contacts za huyo mteja.
Issue ya ng'ombe na moto unadhibiti vp mkuu?
Tayari nishakutumia.
Mkuu hii kitu inawezekana kama utakuwa na tittle deed ya shamba lako plus an operating business.
Pia kama shamba lako ni large scale basi nenda pale sua kuna mhadhiri anaconnection na shirika flani marafiki wa mazingira kutoka canada wanatoa mkopo mrefu na mnono kwelikweli kiasi kwamba utamu wa kupanda miti utaufaidi mpaka siku ya mavuno ya mitiki hakika utakuwa umekinai.
Kesho ntajongea CRDB nikajihakikishie mwenyewe then nilete mrejesho kamili hapa jukwaani.
large scale nikuanzia hekaringapi?..