Team Ally Kiba na Team Diamond Platinums tujongee Hapa kuombana Msamaha kwa matusi tuliyotoleana.

Team Ally Kiba na Team Diamond Platinums tujongee Hapa kuombana Msamaha kwa matusi tuliyotoleana.

Kusema timu kiba na timu diamond ni kumshusha diamond.. Ally bushman hana timu ana watu hawapungui kumi wenye akaunti fake tano tano ndo mnaleta upuuzi hapa..!! Timu kibakuli muwe na adabu na msanii wetu WA kimataifa na mkubali ukweli kuwa jamaa yenu hajui kuimba hata dimpoz mwenyew hamfikii..!! Naona sasa hivi mmehamia kwa darasa timu bushman.. Msanii wenu hajui kuimba..msanii tokea Cinderella bado habadiliki..
Abadilike kuwa sokwe?!
 
Kiba na diamond wakiyamaliza itawasaidia sana kimuziki tatizi Diamond anataka kudominate mziki wa bongo peke yake jambo ambalo tunalipinga vikali
 
Mimi nashukuru Mungu sijawahi kumtukana mtu,ila kanuni yangu ukinitukana au kunikejeri sikuachi na ndio maana tokea niwe humu sijawahi kufungiwa.Ila mimi ndio naongoza kwa kutukanwa ktk jukwaa hili.
Mi mbona nishatukana sana na sijapigwa ban.
Acha uoga wewe
 
0ddf7d401fbda261e59b8b834858393b.jpg
 
Kusema timu kiba na timu diamond ni kumshusha diamond.. Ally bushman hana timu ana watu hawapungui kumi wenye akaunti fake tano tano ndo mnaleta upuuzi hapa..!! Timu kibakuli muwe na adabu na msanii wetu WA kimataifa na mkubali ukweli kuwa jamaa yenu hajui kuimba hata dimpoz mwenyew hamfikii..!! Naona sasa hivi mmehamia kwa darasa timu bushman.. Msanii wenu hajui kuimba..msanii tokea Cinderella bado habadiliki..
Mkuu umemaliza chaji bure ni heri ungecheza game tu kuliko kuandika hizi vapour
 
Team Kibakuli ujinga wao ni kutokutaka kubali ukweli kwamba Diamond ndio jina la Mchezo. Wakiri kwanza hilo then tuendelee.
Mbona mnataka kutulisha matango pori? kitu kizuri kila mtu anakijua ni ujeuri wenu tu
 
Back
Top Bottom