Team Ally Kiba na Team Diamond Platinums tujongee Hapa kuombana Msamaha kwa matusi tuliyotoleana.

Abadilike kuwa sokwe?!
 
Kiba na diamond wakiyamaliza itawasaidia sana kimuziki tatizi Diamond anataka kudominate mziki wa bongo peke yake jambo ambalo tunalipinga vikali
 
Mimi nashukuru Mungu sijawahi kumtukana mtu,ila kanuni yangu ukinitukana au kunikejeri sikuachi na ndio maana tokea niwe humu sijawahi kufungiwa.Ila mimi ndio naongoza kwa kutukanwa ktk jukwaa hili.
Mi mbona nishatukana sana na sijapigwa ban.
Acha uoga wewe
 
Mkuu umemaliza chaji bure ni heri ungecheza game tu kuliko kuandika hizi vapour
 
Team Kibakuli ujinga wao ni kutokutaka kubali ukweli kwamba Diamond ndio jina la Mchezo. Wakiri kwanza hilo then tuendelee.
Mbona mnataka kutulisha matango pori? kitu kizuri kila mtu anakijua ni ujeuri wenu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…