Sasa hivi watu wamebadili mfumo wa maisha kulingana na hali iliyopo...
Siyo kuwa watu hawana hela, sasa hivi ukionekana kijana unatanua mjini hapa unaanza kufuatiliwa na team Sianga nani anaye taka....
Wenye team Subaru, Altezer wamewaachia wake zao....