HahahahaWamelala ngoja waamke
Haya maneno ulitakiwa kumwambia boss wako Domo maana mchezo kautaka yeye mwenyewe.Tulitegemea tamasha Changa lililopata mafanikio makubwa kama la wasafi litaanza kukidhi hadhi ya kufananishwa na tamasha kongwe la first baada ya miaka 10, ila cha ajabu ni mwaka wa kwanza tu tamasha changa kabisa linawasumbua sana tamasha la fiesta kiasi hiki, hapa bila shaka tamasha la wasafi limebeba kombe.
Diamond miaka 28 tu mtoto mdogo muoneeni huruma jamaniπ kaka zake walidhani kuwa ukubwa wa miaka 35 ndo dawa ya Dogo wa miaka 28, kilichowatokea walivyoingia kwenye anga za huyu mtoto hawatakuja kukisahau, mpaka Leo kabla hawajafanya lolote huko insta wanaumizaga sana vichwa ni jinsi gani posti zao zitamshambulia Huyu Dogo anaewapuuza na hatoi kiki kwa kaka zake wanaozifosiππ.
Huu uwanja haujatapika ndugu yangu hao watu ni wachache sana ndio maana hautakaa uone picha ya juu ikionyesha utosi... Hiyo picha imefanyiwa ujanja zimezimwa lights halafu ikapigwa kwenye angle then zikafanyiwa effects... Ingepigwa picha kwa juu halafu taa ziwashwe ungeona hali halisi.Mpaka Sasa bado wanajiuliza imekuwaje Dar yote Jana kuhamia Togo Fiesta? Kuna ambao walikuwa wameshashauri kuwa ni Bora Tigo Fiesta iahirishwe ili kuficha aibu maana hakuna watu watakoihudhuria. Cha kushangaza wao wenyewe wamekuwa miongoni mwa waliofanikisha kufanya uwanja utapike. Sasa wanaficha nyuso wanashindwa wafanye nini maana hawaamini walichokionaView attachment 974956
Luna kiti kinaitwa mapokeo hasa kwa Wa-Tz, rejea EFM kwanza.Tulitegemea tamasha Changa lililopata mafanikio makubwa kama la wasafi litaanza kukidhi hadhi ya kufananishwa na tamasha kongwe la first baada ya miaka 10, ila cha ajabu ni mwaka wa kwanza tu tamasha changa kabisa linawasumbua sana tamasha la fiesta kiasi hiki, hapa bila shaka tamasha la wasafi limebeba kombe.
Diamond miaka 28 tu mtoto mdogo muoneeni huruma jamaniπ kaka zake walidhani kuwa ukubwa wa miaka 35 ndo dawa ya Dogo wa miaka 28, kilichowatokea walivyoingia kwenye anga za huyu mtoto hawatakuja kukisahau, mpaka Leo kabla hawajafanya lolote huko insta wanaumizaga sana vichwa ni jinsi gani posti zao zitamshambulia Huyu Dogo anaewapuuza na hatoi kiki kwa kaka zake wanaozifosiππ.