Mayor of kingstown
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,898
- 4,156
Naona kama umekurupuka ivi hujaelewa n nn dhima ya bandiko la jamaa, hebu skma upya utafakari ndo ujibu.Haya maneno ulitakiwa kumwambia boss wako Domo maana mchezo kautaka yeye mwenyewe.
Jinga sana mtoa madaSiku ya mwisho hadhira ndiyo majaji tunaamua tu tuende wapi, msitulete mambo ya utimu siku ya mwisho tunataka kuburudika
Hahahahaha! Hamkosi sababu. Mmepigwa Sasa mnatafuta sababuHuu uwanja haujatapika ndugu yangu hao watu ni wachache sana ndio maana hautakaa uone picha ya juu ikionyesha utosi... Hiyo picha imefanyiwa ujanja zimezimwa lights halafu ikapigwa kwenye angle then zikafanyiwa effects... Ingepigwa picha kwa juu halafu taa ziwashwe ungeona hali halisi.
Ndio maana hautoona picha nyingine zaidi ya hiyo sababu ni picha iliyowatoa jasho kuipata... Kama hauamini tafuta picha nyingine au video inayoonyesha washabiki hutakaa uipate.
Kiufupi Fiesta ilikuwa aibu hata hao die hards waliokuja wamekuwa dissapointed sana na shows za wasanii.
Matangazo yote watu wenyewe ndio hao !!Mpaka Sasa bado wanajiuliza imekuwaje Dar yote Jana kuhamia Togo Fiesta? Kuna ambao walikuwa wameshashauri kuwa ni Bora Tigo Fiesta iahirishwe ili kuficha aibu maana hakuna watu watakoihudhuria. Cha kushangaza wao wenyewe wamekuwa miongoni mwa waliofanikisha kufanya uwanja utapike. Sasa wanaficha nyuso wanashindwa wafanye nini maana hawaamini walichokionaView attachment 974956
BASATA yuko FRONTWatu wachache mmewasambaratisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Show kongwe ya fiesta inatolewa jasho na tamasha changa la WASAFI FESTIVAL [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
KWELI NOW DIAMOND KAPATA WASHINDANI WAWILI AMBAO NI CLOUDS NA BASATA
Diamond platnum ni zaid ya simbaaaaBASATA yuko FRONT
CLOUDS yuko UNDERCOVER
Chid Benz hatari sana yule mtu!
Nadhani wasafi wangemtumia kwenye show zao kuliko hao akina dudu baya
Anaamsha hatari!
Clouds muongezen pesa chid
Hawawezi kumwongeza hiyo yenyewe wamemkopaChid Benz hatari sana yule mtu!
Nadhani wasafi wangemtumia kwenye show zao kuliko hao akina dudu baya
Anaamsha hatari!
Clouds muongezen pesa chid
Washindani watatu semaWatu wachache mmewasambaratisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Show kongwe ya fiesta inatolewa jasho na tamasha changa la WASAFI FESTIVAL [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
KWELI NOW DIAMOND KAPATA WASHINDANI WAWILI AMBAO NI CLOUDS NA BASATA
Duuuh!!!!
Chid Benz?? ina maana Rostam hawakuwepo au? Weusi je??
Halafu wakina Rostam na Weusi wamelipwa milioni 3, kasha Chid kalipwa laki 2 na nauli ya Uber!!