Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

hahahaha tanzania raha sana bado hujaweka kivutio kikuu Lemutuz
Kivutio namba moja tz ni JIWE
Dec-28-15-JPM-What-Road-Map-1024x729.jpg
 
tununu nae alikosea kuwaaminisha watu wake kuwa josh ni mtu wake, masikini anachambwa bureee
Kwani sio mtu wake๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ๐Ÿ˜ฑ
Mange akithibitisha bana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huyu kaka atajuta!!! Usiombe viumbe wa Instagram wakakufungia mtaa ashukuru tu kinge kinawapiga chenga wanamchamba kiswahili, siku nyingine sijui kama atakubali kufanya kazi na wabongo...

Kiki nnya nazo zinaponza ndo nini kutangaza upo kwenye uhusiano na mtu wakati ni kazi tu kaka wa watu alikua "video queen"View attachment 949607View attachment 949613View attachment 949608View attachment 949608View attachment 949613 yanayomkuta Josh leo harudii...
Nakubali maneno ya Trump Africans are hole
 
Watanzania wa insta [emoji23][emoji23]
Yani kama kuna watu ni washamba na tunatia aibu yani tunatia aibu sana kwenye mitandao ni Watanzania. Hivi si tunaonekana kituko? Hivi mtu anashindwa kujua kwamba jamaa alitumika tu kwenye video hakuna mapenzi hapo? Dah ama kweli IQ ya Watanzania inatia mashaka sana
 
tununu nae alikosea kuwaaminisha watu wake kuwa josh ni mtu wake, masikini anachambwa bureee
Hata hao wanaochamba hawana akili maana aliyetakiwa kuchambwa ni yule aliyewaaminisha uongo kwa kupenda sifa za kijinga, hata hizo picha alizokuwa anapost zilikuwa zinaonyesha kabisa hawana uhusiano kwa sababu wanaakili kama za huyo mpuuzi waliamini. Wamshauri atulie anazidi kujiabisha sasa hii nayo aibu nyingine kwake
 
Kuzaliwa Tz raha sana kwa maana ningekua Sudan kusini ,sahiv nipo kwenye kambi za wakimbizi huko kakuma na cjui pakuelekea...Asanten wazaramo na wengneo kwa kutufanya tuishi kwa furaha huku simiyu
 
Yani shida ya wabongo mitandao tunaitumia vibaya. Upungufu wa akili ndio tunao ongoza hapa nchini. Yani watu wanamchamba huyo kaka kwa sababu gani.
 
Back
Top Bottom