ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Mwajuma nichokonoe kaolewa amerikani baada ya kuvunja ndoa ya baba yangu wallahi!![emoji443][emoji443]anameremeta[emoji445][emoji446]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Team zari ndio wakati wao wa kumcharua misa huutununu nae alikosea kuwaaminisha watu wake kuwa josh ni mtu wake, masikini anachambwa bureee
80% ya wa Tanzania wanaotumia instagram ni vichaa by Adam JumaHuyu kaka atajuta!!! Usiombe viumbe wa Instagram wakakufungia mtaa ashukuru tu kinge kinawapiga chenga wanamchamba kiswahili, siku nyingine sijui kama atakubali kufanya kazi na wabongo...
Kiki nnya nazo zinaponza ndo nini kutangaza upo kwenye uhusiano na mtu wakati ni kazi tu kaka wa watu alikua "video queen"View attachment 949607View attachment 949613View attachment 949608View attachment 949608View attachment 949613 yanayomkuta Josh leo harudii...
Sio vichaa tu vichaka vyao vimejaa Makohozi.80% ya wa Tanzania wanaotumia instagram ni vichaa by Adam Juma
Atajuta kufanya Kik na mbongoTuliambiwa ndoa inafungwa ndio anakuja,nasubiria majibu
[emoji23]Atajuta kufanya Kik na mbongo
HahahaPutin was right, Africa ni sehemu ya kuzikwa tu