Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

tununu nae alikosea kuwaaminisha watu wake kuwa josh ni mtu wake, masikini anachambwa bureee
Kwani sio mtu wake😱😱😱
Mange akithibitisha banaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nakubali maneno ya Trump Africans are hole
 
Watanzania wa insta [emoji23][emoji23]
Yani kama kuna watu ni washamba na tunatia aibu yani tunatia aibu sana kwenye mitandao ni Watanzania. Hivi si tunaonekana kituko? Hivi mtu anashindwa kujua kwamba jamaa alitumika tu kwenye video hakuna mapenzi hapo? Dah ama kweli IQ ya Watanzania inatia mashaka sana
 
tununu nae alikosea kuwaaminisha watu wake kuwa josh ni mtu wake, masikini anachambwa bureee
Hata hao wanaochamba hawana akili maana aliyetakiwa kuchambwa ni yule aliyewaaminisha uongo kwa kupenda sifa za kijinga, hata hizo picha alizokuwa anapost zilikuwa zinaonyesha kabisa hawana uhusiano kwa sababu wanaakili kama za huyo mpuuzi waliamini. Wamshauri atulie anazidi kujiabisha sasa hii nayo aibu nyingine kwake
 
Kuzaliwa Tz raha sana kwa maana ningekua Sudan kusini ,sahiv nipo kwenye kambi za wakimbizi huko kakuma na cjui pakuelekea...Asanten wazaramo na wengneo kwa kutufanya tuishi kwa furaha huku simiyu
 
Yani shida ya wabongo mitandao tunaitumia vibaya. Upungufu wa akili ndio tunao ongoza hapa nchini. Yani watu wanamchamba huyo kaka kwa sababu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…