Team Hamisa wamvaa Josh Adeyeye baada ya kupost picha akiwa na mwanamke

Mwajuma nichokonoe kaolewa amerikani baada ya kuvunja ndoa ya baba yangu wallahi!![emoji443][emoji443]anameremeta[emoji445][emoji446]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mashambulizi anayokula sio ya nchi hii yaani watu wanamshushua kama anaelewa kiswahili naona alipo atajuta
 
[emoji38]eti video queen [emoji1787]nimecheka sana.
Unaweza kuta hata ye hakua anajua kuwa huku bongo ametambulishwa kama shemeji mpya
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
80% ya wa Tanzania wanaotumia instagram ni vichaa by Adam Juma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…