mbuta likasu
Senior Member
- Feb 29, 2016
- 155
- 87
Sasa mbona iliitwa Watora Mari na sio jina la Dimond ili huyo msanii wa kimataifa ajaze vizuri uwanja?Shoo ilikuwa ni ya DIAMOND PLATNUMZ na mwingine ambaye ni Jah Prazah alikuwa ni msindikizaji.ANGALIA BANGO. (PIA KUMBUKA DUNIANI KOTE SHOO ZA MASTAA WAKUBWA NI LAZIMA NA WENYEJI WAWACHOMEKE WASANII WAO ILI WAPATE UZOEFU NA KUJULIKANA)
Chriss brown shoo yake ya Mombasa HAIKUPEWA JINA LAKE WALA JINA LA WIMBO WAKE WALA ALIOSHIRIKISHWA. Swali, je inamanisha watu hawakufuata burudani yake kwa vile HAWAJATUMIA JINA LAKE ............Shoo iliitwa MOMBASA ROCKS MUSIC FESTIVAL. (Kumbuka mwenye maamuzi ya shoo iitwaje ni PROMOTER NA SIO MSANII.)Sasa mbona iliitwa Watora Mari na sio jina la Dimond ili huyo msanii wa kimataifa ajaze vizuri uwanja?
Njoo basi tujadili kuhusu hili.Stupid thread.
Wanatamani kupasuka,jinsi walivyozijaza sumu mdomoni.Diamond jamani anakeraaa!![emoji38][emoji38]
Yaani show ya Zimbabwe inaitwa "mwana ukome"[emoji2]
Jahzapray mwenyewe amekiri kwenye ukurasa wake wa Instagram kwamba ni Show ya kukumbukwa!!A show to remember!!
Kama nawaona hivi AntiDiamond wakikunja uso kwa hasira[emoji57][emoji57]
Ni sawa na bei gani ya madafu!?Mondi Zimbabwe amelipwa dollar laki mbili
Hiyo ilikuwa ya Diamond au Jah?!
Maana Wizkid alivyokuja Fiesta mwanza nae aliwadanganya mashabiki wake instagram kuwa alijaza uwanja wakati yeye alikuwa msanii mualikwa tu.
Ni kama Tekno alivyo-post show ya fiesta na ile nyomi ya Mashabiki na kusema kuwa amejaza uwanja peke yake kumbe kulikuwa na wengine Kibao.
Sasa mtupe jibu hiyo show jamaa alifanya peke yake au kulikuwa na wasanii wengine wa Zimbabwe?!
Kwanza kwenye hiyo ngoma ya watora mali diamond ndo sterling..Diamond ndo kamtoa jamaa kitaifa na kimataifa.Sasa mbona iliitwa Watora Mari na sio jina la Dimond ili huyo msanii wa kimataifa ajaze vizuri uwanja?
basi tufanye show ni ya Jah na diamond kaenda kutoa sapoti tu.Hiyo ilikuwa ya Diamond au Jah?!
Maana Wizkid alivyokuja Fiesta mwanza nae aliwadanganya mashabiki wake instagram kuwa alijaza uwanja wakati yeye alikuwa msanii mualikwa tu.
Ni kama Tekno alivyo-post show ya fiesta na ile nyomi ya Mashabiki na kusema kuwa amejaza uwanja peke yake kumbe kulikuwa na wengine Kibao.
Sasa mtupe jibu hiyo show jamaa alifanya peke yake au kulikuwa na wasanii wengine wa Zimbabwe?!
Hivi ww huwa hujishangai ulivo na sura mbovu kama mk....nduAnafuata nyayo za Dk Remy za kupiga Show nyingi za nchi za nje.... Marehemu Remy alikuwa anamzidi bichuka kuimba?watu wanaenda kushangaa domo la mwendo kasi kama kwa mzee yule wa sura mbaya
Hilo nalo neno,maana Mama ametoka kucheki kiwanja cha kuhamisha "State house" badala ya madale iwe ni sehemu nyingine.Mnapiga majunga anajenga vibanda