laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
hiyo show ilikuwa ya watori Zimbabwe hawamjui DIAMOND watu wengi walienda kumuona jah PraziahHiyo ilikuwa ya Diamond au Jah?!
Maana Wizkid alivyokuja Fiesta mwanza nae aliwadanganya mashabiki wake instagram kuwa alijaza uwanja wakati yeye alikuwa msanii mualikwa tu.
Ni kama Tekno alivyo-post show ya fiesta na ile nyomi ya Mashabiki na kusema kuwa amejaza uwanja peke yake kumbe kulikuwa na wengine Kibao.
Sasa mtupe jibu hiyo show jamaa alifanya peke yake au kulikuwa na wasanii wengine wa Zimbabwe?!
Nasikia tena kwenye manunuzi yake ammnunua mtoto tena kwa zari anataka kununua jina kwa mashabiki ili mtt huyo wa manunuzi aitweKilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Facts 2... Mipoovu ya sabuni za wajasiriamaliHivi ww huwa hujishangai ulivo na sura mbovu kama mk....ndu
amelipwa dola laki mbili.ya Zimbabwe nasikiaNdio umeongea nini sasa ......... Mi nilidhani utasema hiyo show HAKULIPWA PESA,ILA KAFANYA BURE.
Sometimes kujinyamazia ni bora zaidi kuliko uongee kisha uwe kituko, hii inaonyesha kuwa hujui lolote kuhusu pesa ya Zimbabwe,kwamba kwasasa haitumiki tena,ila wanatumia Rand ya south na $ ya U.S.M
amelipwa dola laki mbili.ya Zimbabwe nasikia
Zaidi ya milioni 400Ni sawa na bei gani ya madafu!?
Inatumika dollar na Rand zimland dogo kalipwa US dollar laki mbili zaidi ya tsh million 400Hata kama kalipwa lakini hela ya Zimbabwe haina thaman,so atajikuta kaambulia laki nne(mawazo ya kiba)
Ahaha wee jamaa ni mbaya sana. SIMBAAAAIle timu Janja janja au maarufu kama timu manunuzi,ikiongozwa na msanii wa kimataifa mwenye mbinu za kijanja janja DIAMOND PLATNUMZ alikuwa nchini Zimbabwe (Zim) kwaajili ya shoo moja iliyofanyika juzi (ijumaa) na kuhudhuriwa na maelfu ya wazimbabwe ambao "inasemekana" kuwa DIAMOND aliwalipia kiingilio ili waonekane wengi ktk shoo yake. We unasemaje kuhusu tabia za huyu msanii za kununua mashabiki ..???
AhahahaKilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Ahahaha. Dimpoz sijui alikuwa anawaza nini, au ndio mambo ya kick kupitia kwa MondTeam janja janja hashindwi kununua mashabiki ili kugain popularity
How old are you mtani????Kilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Jibu maswali acha muhemkoSubirini 25 december ndio mtajua mondi ni nani?
Hiyo fiesta yenu itakuwa cha mtoto
Hata mimi huwa sio shabiki wa hizi mambo lakini nitaenda
kamtoa Kitaifa?!Kwanza kwenye hiyo ngoma ya watora mali diamond ndo sterling..Diamond ndo kamtoa jamaa kitaifa na kimataifa.
Na wazim walidhani labda ngoma ni ya diamond kumbe alipewa collab akamfunika na mwenye ngoma.