Team Janja janja, team kununua cheki ilivyowanunua Wazimbabwe

Team Janja janja, team kununua cheki ilivyowanunua Wazimbabwe

Hiyo ilikuwa ya Diamond au Jah?!

Maana Wizkid alivyokuja Fiesta mwanza nae aliwadanganya mashabiki wake instagram kuwa alijaza uwanja wakati yeye alikuwa msanii mualikwa tu.

Ni kama Tekno alivyo-post show ya fiesta na ile nyomi ya Mashabiki na kusema kuwa amejaza uwanja peke yake kumbe kulikuwa na wengine Kibao.

Sasa mtupe jibu hiyo show jamaa alifanya peke yake au kulikuwa na wasanii wengine wa Zimbabwe?!
hiyo show ilikuwa ya watori Zimbabwe hawamjui DIAMOND watu wengi walienda kumuona jah Praziah
 
Kilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Nasikia tena kwenye manunuzi yake ammnunua mtoto tena kwa zari anataka kununua jina kwa mashabiki ili mtt huyo wa manunuzi aitwe
 
hiyo show ilikuwa ya watori Zimbabwe hawamjui DIAMOND watu wengi walienda kumuona jah Praziah
Ndio umeongea nini sasa ......... Mi nilidhani utasema hiyo show HAKULIPWA PESA,ILA KAFANYA BURE.
 
M
amelipwa dola laki mbili.ya Zimbabwe nasikia
Sometimes kujinyamazia ni bora zaidi kuliko uongee kisha uwe kituko, hii inaonyesha kuwa hujui lolote kuhusu pesa ya Zimbabwe,kwamba kwasasa haitumiki tena,ila wanatumia Rand ya south na $ ya U.S.
 
Diamond kwa sasa ana ushawishi mkubwa kuliko vijana wote wa Ufipa na Lumumba combined!
 
Ni muda sahihi wa kumbadilishia domo mshindani maana king wa tembo kajisahau mbugani na tunahisi seven ameshanunuliwa na simba kwa sasahivi labda tumpe nafasi DARASA CMG namwona anajua anachokifanya na ameshamuovertake king yuko anamfukuzia simba sahiv
 
YALE YALE YA MBUNGE MMOJA KUAMBIWA KILA KITU KIZURI CHAKE,MAJENGO,MAGARI NA HATA BARABARA TULISEMA ZAKE MWISHO WA SIKU JAMAA ANASONGA TU.
 
Ile timu Janja janja au maarufu kama timu manunuzi,ikiongozwa na msanii wa kimataifa mwenye mbinu za kijanja janja DIAMOND PLATNUMZ alikuwa nchini Zimbabwe (Zim) kwaajili ya shoo moja iliyofanyika juzi (ijumaa) na kuhudhuriwa na maelfu ya wazimbabwe ambao "inasemekana" kuwa DIAMOND aliwalipia kiingilio ili waonekane wengi ktk shoo yake. We unasemaje kuhusu tabia za huyu msanii za kununua mashabiki ..???


















Ahaha wee jamaa ni mbaya sana. SIMBAAAA
 
Kilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
Ahahaha
 
Kilicho nisikitisha zaidi ni nilipo pata taarifa kuwa pamoja na Diamond kuwanunua wazimbabwe waingie kwenye show yake haikutosha akawanunua tena wamshangilie.....
Sasa Diamond kaenda mbali zaidi ni majuzi tuu kamnunua producer wa Alikiba bwana Abdady.
Diamond tafadhali punguza kununua maana sasa umebakiza kumnunua Seven Mosha
How old are you mtani????
Nakusabahi tu.
 
Kwanza kwenye hiyo ngoma ya watora mali diamond ndo sterling..Diamond ndo kamtoa jamaa kitaifa na kimataifa.

Na wazim walidhani labda ngoma ni ya diamond kumbe alipewa collab akamfunika na mwenye ngoma.
kamtoa Kitaifa?!

Leo umevuta bange ya wapi!?

Labda taifa la Madale.
 
Back
Top Bottom