Team maalum kutoka Kenya kuwasili Dar kuishawishi serikali ikubali kusign EPA za EAC-EU

Team maalum kutoka Kenya kuwasili Dar kuishawishi serikali ikubali kusign EPA za EAC-EU

Mamayako ndo hana uume ukiachilia mbali wa kusimama na si Wanaume rijali wa Kiswahili! Pumbavu wewe uandike Kikuyu na si Kiswahili...atu hatuna uume wa kusimama? Umeskia sisi mahanithi?
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu
 
Ulikuepo kwenye vikao sisi sio wajinga tuliwakatalia toka kwenye vikao ila mkalazimisha na kuwashawishi wanachama wengine wakubaliane na nyinyi mkiwa mmesahau kua kwenye kutia sign kila nchi itaweka sahihi yake na ni lazima kila nchi itie saini ili hiyo mikataba iwe valid mkawa mnajipa moyo kwamba mtaweza kutushawishi oneday tusaini Sasa naona mmeona kua tulikua serious hamuamini mnaanza safari za kuna tz kutushawishi sisi tunamsimamo since day one waambien viongoz wenu wawape minutes za vikao namuone ni wapi sisi tulikuabaliana na izo mambo za EPA
wacha ku create fantacy stories wewe. nionyeshe wapi mlipinga chochote, hayo maamuzi yenu yamekuja kama suprise tu kila mtu amebaki kushangaa, kila jambo lilizingumziwa na kukubalika na kila mtu, ndo maana mazungumzo yakaisha na ikawa imebaki kutia sahihi, katika hicho kikao cha mwisho, tanzania ikaanza kujificha, alafu ghafla mnatangaza hamtakubali hio dili, huu ni utoto wa hali ya juu sana, ndo maana sisi wakenya tunaona mmefanya maksudi...... kama mmngekua mlikataa hio dili tokea kitambo na mkajulisha kila mtu rasmi, hii haingekua habari
 
wacha ku create fantacy stories wewe. nionyeshe wapi mlipinga chochote, hayo maamuzi yenu yamekuja kama suprise tu kila mtu amebaki kushangaa, kila jambo lilizingumziwa na kukubalika na kila mtu, ndo maana mazungumzo yakaisha na ikawa imebaki kutia sahihi, katika hicho kikao cha mwisho, tanzania ikaanza kujificha, alafu ghafla mnatangaza hamtakubali hio dili, huu ni utoto wa hali ya juu sana, ndo maana sisi wakenya tunaona mmefanya maksudi...... kama mmngekua mlikataa hio dili tokea kitambo na mkajulisha kila mtu rasmi, hii haingekua habari
Nyie si muendelee tu hilo dili,sie tushaamua hatutakiiiii
 
Mbona kwenye CoW hawakutualika,alafu kwenye EPA wanatulika?msitufanye 'toilet paper' bhana, tuliwaambia before, TZ ni nchi muhimu kwenye EAC,hamuelewi,mnajifanya 'big brother. Juzi mlisema sisi ni maadui zenu,mnafuata nini Dar?
 
MORE REACTION AND SCREAMING HEADLINES FROM NAIROBI

July 12, 2106
Nairobi, Kenya
By Standard Newspaper

Kenya reads mischief in Tanzania's move to pull out of joint EPA talks


Reliable sources within the Foreign Affairs ministry say Kenya sees the decision by Tanzania as ‘blackmail’ and is taken out of ‘malice’ as part of a series of decisions that have been taken by President Magufuli’s government that promise to hurt Kenya’s economy.

“We see this as blackmail and may be aimed at increasing its share of exports to the EU at the expense of Kenya. The argument that the deal is not good for local industry is hollow because it’s the entire region stand to benefit from better export terms,” explained the source.

The source requested to remain anonymous on grounds it would jeopardise the talks and go against the code of secrecy that is required of negotiating teams. Kenya will be the biggest loser if Tanzania refuses to sign the deal by October.

However, Tanzania will continue enjoying preferential treatment for its exports to EU since it falls under the category of least developing countries. Kenya is the only country from the EAC that was dropped from this list after it was classified as a middle-income country, which has seen it lose out on some of the trade privileges it used to enjoy.

“This really is killing the spirit of EAC given that we are not moving together as one, which is the basic principle of the regional bloc,” he said. A similar stunt pulled by Tanzania in 2014 after it delayed in signing the agreement saw Kenya temporarily placed under what is known as the Generalised System of Preferences (GSP) trade regime.

This saw Kenya’s exports attract duty of between five per cent and 22 per cent, threatening to price Kenya out of the lucrative EU export market. This cost exporters more than Sh600 million in discounts every month to allow traders factor in the new taxes and remain competitive.

More than 87 per cent of Kenya’s exports to EU are agricultural, agro-processed and manufactured products.

“As Kenya suffered, other EAC countries continued accessing the EU market under Everything But Arms (EBA) initiative since they are categorised as least developing countries,” the source said. This was reversed in December 2014, three months after it was enforced.

The agreement was to be signed on July 18 on the sidelines of the UNCTAD conference .

Source: Kenya reads mischief in Tanzania's move to pull out of joint EPA talks

Hao Wakenya hawajielewi hata kidogo.

Wasijue kuwa kila mtu anaangalia maslahi yake.
 
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu
uume ni is a dick jinga wewe! differentiate uume na kuume, and uume na uanaume/uanamume?
 
Tulikua wote kwenye least developing country na nyie mkapiga hatua pekee yenu kua middle income bila kutusubiri mkawa mnatumia udhaifu wetu kutuibia mapato yetu ya utalii Sasa taften middle income wenzenu mfanye now maendeleo sisi tutasubiri maskini wenzetu na hayo ni malipo ya usaliti
 
mimi na nadhani wakenya wengi hawanashida na Tz kukataa kusign hio dili...

shida ni vile nyi waswahili hamna uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu, mlipoteza mda ya watu wakati discussion za hio dili ilikua inazungumziwa, mlinyamaza na kuchekacheka na haya wakati watu wanaelewana, kila mtu akasema mawazo yake kutoka nchi zao, kila mtu akafika mahali ambapo skaona dili ya EAC na EU iko sawa, alafu sasa ilikua almost a done deal, alafu imebaki tu ku sign deal, hapo ndo mnaamka huko kwenu na kuanza kudai hio dili si nzuri kwenu!!!! WTF!! kueni wanaume bana, sasa mnataka kutongozwa tena, ka.a mngekua mmekataa dili toka mwanzo hakuna mtu angewashuku,
sasa ni either waziri wenu walikua hawana nguvu za kuamua kwa niaba ya Tz na waliporudi nyumbani Magu aliwakemea kwanini walifanya maamuzi ya kukubali na hayo hayakua matakwa ya watz

ama Tz yenyewe ilikua na mpango wa kusumbua kenya na ku sabotage kenya ili tu wapate faida nyingi zaidi kwa maua... maana wanajua tukiwa sawa hakuna vile tz itapita kenya..


ama pia inaezekana serikali ya tz haina chain of command, hakuna communication kati ya mawaziri na rais, kila mtu anafanya mambo yake tu bila kumwambia mwenzake, ikija wakati wakusign hapo ndo wanaanza kulizana maswali, 'hii imetoka wapi?, na hii nayo ni mkataba gani!,? we unawazimu we! mbona ulikubali hii dili? ama wakenya walikua wanaongea lugha nyengine na we ulikua hauelewi ukabaki ukitingisha kichwa tu!!! ebo!
Wee kwa nini usiandike kwa lugha uliyoizoea? Hamna Uume wa kusimama maana yake nini? Mlituuliza wahusika tukawaambia hakuna Uume wa kusimama? Kuna aliyekuja kutafuta Uume wa kusimama huko Kenya? Acha matusi ya reja reja.
 
Wee kwa nini usiandike kwa lugha uliyoizoea? Hamna Uume wa kusimama maana yake nini? Mlituuliza wahusika tukawaambia hakuna Uume wa kusimama? Kuna aliyekuja kutafuta Uume wa kusimama huko Kenya? Acha matusi ya reja reja.
Hili jaama Kafrican ni mbwigambwiga...
 
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu

Umepanic kijana. Huu mchezo hauhitaji hasira.
 
wacha ku create fantacy stories wewe. nionyeshe wapi mlipinga chochote, hayo maamuzi yenu yamekuja kama suprise tu kila mtu amebaki kushangaa, kila jambo lilizingumziwa na kukubalika na kila mtu, ndo maana mazungumzo yakaisha na ikawa imebaki kutia sahihi, katika hicho kikao cha mwisho, tanzania ikaanza kujificha, alafu ghafla mnatangaza hamtakubali hio dili, huu ni utoto wa hali ya juu sana, ndo maana sisi wakenya tunaona mmefanya maksudi...... kama mmngekua mlikataa hio dili tokea kitambo na mkajulisha kila mtu rasmi, hii haingekua habari
Kweli kabisa kafrican,
In fact tumefanya makusudi!!
 
Tatizo la Kenya anatumika kama daraja kwa wazungu wa EU kwa kumuahidi atauza maua yake, lakini kiasi atakacho uza ini kidogo sana kulinganisha na EU watakavyo imports bidhaa zao Kenya, ndo maana wazungu wanamtumia ili ajaribu kushawishi pia nchi zote kusign ili EU wajihakikishie soko kwa nchi zote. Kenya kama ni mjanja angeliangalia katika EU maua yake hasa anauza nchi ngapi? na zipi? Mfano Tanzania anafanya biashara na kwa kishirikiana sana na UK, hata investments za UK Tz ni kubwa ukilinganisha na nchi zingine za EU ,baada ya Uk kujitoa maana yake katika nchi za EU ambao wanafuata kwa kufanya biashara ni France na Germany ,sasa ukisign contract na EU wakati mhusika mkuu hayupo tayari uatafanya biashara sana na Germany & France , sasa kwa nini Kenya asibadili gear na just aanze negotiate na UK, Germany na France sparatey? na kuachana na nchi zote za EU ambazo hata hazinunue maua kama Kazakistan, Uzebekistan nk?. Kwa bongo ni kweli sisi bado tunataka kuanza kujenga viwanda na pia mshirika mkuu ni UK sasa kama ametoka hiyo EU tutafanya issue na nani?
 
Jamaa wasahaulifu sana ingawa wao wamejenga matuta makubwa ya kupitisha reli ya SGR yanayoathiri ustawi wa wanyama-pori hata jamaa zao wa KWS (Kenya Wildlife Service) wanajiuliza Controversial Railway Splits Kenya’s Parks, Threatens Wildlife ilikuwa kuna sababu gani kushubalia barabara ya Arusha - Serengeti- Musoma ikiwa reli ya SGR ina athiri ustawi wa kiasili wa wanyama - pori.

Ile ngoja tujikite zaidi katika huu mkataba tata wa EPA Economic Partnership Agreement kati ya ''EAC'' na EU.
Ndege mjanja hunasa ktk tundu bovu, sasa walete maua yao Arusha kwa brand ya tz,tutawasaidia kuingia ktk soko la EU, sisI TUNATOSHA.
 
Haya ndio mambo Nyerere alikataa kabisa, free trade agreements kati ya Developed and Developing countries wapi na wapi. Tutauza Cocoa tuletewe Chocolate, tutauza Cotton tuletewe Ralph Lauren jeans.
 
Back
Top Bottom