Team maalum kutoka Kenya kuwasili Dar kuishawishi serikali ikubali kusign EPA za EAC-EU

Mamayako ndo hana uume ukiachilia mbali wa kusimama na si Wanaume rijali wa Kiswahili! Pumbavu wewe uandike Kikuyu na si Kiswahili...atu hatuna uume wa kusimama? Umeskia sisi mahanithi?
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu
 
wacha ku create fantacy stories wewe. nionyeshe wapi mlipinga chochote, hayo maamuzi yenu yamekuja kama suprise tu kila mtu amebaki kushangaa, kila jambo lilizingumziwa na kukubalika na kila mtu, ndo maana mazungumzo yakaisha na ikawa imebaki kutia sahihi, katika hicho kikao cha mwisho, tanzania ikaanza kujificha, alafu ghafla mnatangaza hamtakubali hio dili, huu ni utoto wa hali ya juu sana, ndo maana sisi wakenya tunaona mmefanya maksudi...... kama mmngekua mlikataa hio dili tokea kitambo na mkajulisha kila mtu rasmi, hii haingekua habari
 
Nyie si muendelee tu hilo dili,sie tushaamua hatutakiiiii
 
Mbona kwenye CoW hawakutualika,alafu kwenye EPA wanatulika?msitufanye 'toilet paper' bhana, tuliwaambia before, TZ ni nchi muhimu kwenye EAC,hamuelewi,mnajifanya 'big brother. Juzi mlisema sisi ni maadui zenu,mnafuata nini Dar?
 

Hao Wakenya hawajielewi hata kidogo.

Wasijue kuwa kila mtu anaangalia maslahi yake.
 
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu
uume ni is a dick jinga wewe! differentiate uume na kuume, and uume na uanaume/uanamume?
 
Tulikua wote kwenye least developing country na nyie mkapiga hatua pekee yenu kua middle income bila kutusubiri mkawa mnatumia udhaifu wetu kutuibia mapato yetu ya utalii Sasa taften middle income wenzenu mfanye now maendeleo sisi tutasubiri maskini wenzetu na hayo ni malipo ya usaliti
 
Wee kwa nini usiandike kwa lugha uliyoizoea? Hamna Uume wa kusimama maana yake nini? Mlituuliza wahusika tukawaambia hakuna Uume wa kusimama? Kuna aliyekuja kutafuta Uume wa kusimama huko Kenya? Acha matusi ya reja reja.
 
Wee kwa nini usiandike kwa lugha uliyoizoea? Hamna Uume wa kusimama maana yake nini? Mlituuliza wahusika tukawaambia hakuna Uume wa kusimama? Kuna aliyekuja kutafuta Uume wa kusimama huko Kenya? Acha matusi ya reja reja.
Hili jaama Kafrican ni mbwigambwiga...
 
uume wa kusimama na msimamo wenu mbele ya watu... soma vizuri na umalize sentensi akili yako chafu inakupeleka wapi wewe mwehu

Umepanic kijana. Huu mchezo hauhitaji hasira.
 
Kweli kabisa kafrican,
In fact tumefanya makusudi!!
 
Tatizo la Kenya anatumika kama daraja kwa wazungu wa EU kwa kumuahidi atauza maua yake, lakini kiasi atakacho uza ini kidogo sana kulinganisha na EU watakavyo imports bidhaa zao Kenya, ndo maana wazungu wanamtumia ili ajaribu kushawishi pia nchi zote kusign ili EU wajihakikishie soko kwa nchi zote. Kenya kama ni mjanja angeliangalia katika EU maua yake hasa anauza nchi ngapi? na zipi? Mfano Tanzania anafanya biashara na kwa kishirikiana sana na UK, hata investments za UK Tz ni kubwa ukilinganisha na nchi zingine za EU ,baada ya Uk kujitoa maana yake katika nchi za EU ambao wanafuata kwa kufanya biashara ni France na Germany ,sasa ukisign contract na EU wakati mhusika mkuu hayupo tayari uatafanya biashara sana na Germany & France , sasa kwa nini Kenya asibadili gear na just aanze negotiate na UK, Germany na France sparatey? na kuachana na nchi zote za EU ambazo hata hazinunue maua kama Kazakistan, Uzebekistan nk?. Kwa bongo ni kweli sisi bado tunataka kuanza kujenga viwanda na pia mshirika mkuu ni UK sasa kama ametoka hiyo EU tutafanya issue na nani?
 
Ndege mjanja hunasa ktk tundu bovu, sasa walete maua yao Arusha kwa brand ya tz,tutawasaidia kuingia ktk soko la EU, sisI TUNATOSHA.
 
Haya ndio mambo Nyerere alikataa kabisa, free trade agreements kati ya Developed and Developing countries wapi na wapi. Tutauza Cocoa tuletewe Chocolate, tutauza Cotton tuletewe Ralph Lauren jeans.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…