Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Udumavu wa lishe ndo nini?We bwege hujawahi kuwa na akili, hv kwann ni kilaza hivyo? Ni udumavu wa lishe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udumavu wa lishe ndo nini?We bwege hujawahi kuwa na akili, hv kwann ni kilaza hivyo? Ni udumavu wa lishe?
Sheria zipi? Ni kosa gani au kanuni zipi zili kiukwa kwenye huo uchaguzi?Wapi wamesema hivyo? Wao wanataka sheria ifate na sio kuteuana kienyeji enyeji
We siasa huwezi utakuja kufa na sonona, JWTZ ni jeshi linalojitambua siyo km we nyumbuHao ni mapandikizi ya CCM na wajinga wa TISS waliotumwa kuleta mvurugano hapo CHADEMA.
Acha waendelee kula hela za hao CCM na TISS wajinga ila hawatafanikiwa maana CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Wanajeshi wetu wanakufa Congo, Wananchi hawana madawa hospitali na maji ya Uhakika# Tina miundombinu mibovu ya barabara kila sehemu ila badala fedha zielekezwe kwenye mambo ya msingi zinapelekwa kutengeneza mamluki CHADEMA ili kuifanya isi focus kwenye No Reform No Election.
Ni maombi yangu kwa Mungu watokee wenye akili JWTZ wafanye mapinduzi kuwaondoa madarakani hawa wajinga CCM wanaotuharibia Taifa letu.
LIsu anajua ku deal na hao ndezi wala hamna haja ya kupanic, akaunti ya miamala ya mchome iangaliwe kashaingiziwa fungu lakeHao ni mapandikizi ya CCM na wajinga wa TISS waliotumwa kuleta mvurugano hapo CHADEMA.
Acha waendelee kula hela za hao CCM na TISS wajinga ila hawatafanikiwa maana CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Wanajeshi wetu wanakufa Congo, Wananchi hawana madawa hospitali na maji ya Uhakika# Tina miundombinu mibovu ya barabara kila sehemu ila badala fedha zielekezwe kwenye mambo ya msingi zinapelekwa kutengeneza mamluki CHADEMA ili kuifanya isi focus kwenye No Reform No Election.
Ni maombi yangu kwa Mungu watokee wenye akili JWTZ wafanye mapinduzi kuwaondoa madarakani hawa wajinga CCM wanaotuharibia Taifa letu.
Usimfananishe LISSU na takataka za ajabu.Nilijua lisu hawezi kuelewana na team mbowe, bahati mbaya team mbowe ndio wenyekiti wa kanda zote. Lisu atahujumiwa na kanda zote
Kaka if you know you know .Hao ni mapandikizi ya CCM na wajinga wa TISS waliotumwa kuleta mvurugano hapo CHADEMA.
Acha waendelee kula hela za hao CCM na TISS wajinga ila hawatafanikiwa maana CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Wanajeshi wetu wanakufa Congo, Wananchi hawana madawa hospitali na maji ya Uhakika# Tina miundombinu mibovu ya barabara kila sehemu ila badala fedha zielekezwe kwenye mambo ya msingi zinapelekwa kutengeneza mamluki CHADEMA ili kuifanya isi focus kwenye No Reform No Election.
Ni maombi yangu kwa Mungu watokee wenye akili JWTZ wafanye mapinduzi kuwaondoa madarakani hawa wajinga CCM wanaotuharibia Taifa letu.
Wakijadili ndani hawataonekana wanakipenda chama.Hapo ni mkakati wakujisogeza karibu na mwenyekiti ili waje wapate kuungwa mkono badae kwenye harakati za kupata ubunge.Hakuna chochote hapo zaidi ya kila mtu kukodolea fursa matumbo yashibe kupitia kodi za wananchi.Hiki Chama kinajiua chenyewe kwa kasi, kwanini matatizo yao wasiyajadili ndani kuliko kuyafunua huku mitandaoni? Sisi tuwasaidieje sasa
Watakosa waoAmeandika Hilda Newton
"Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema."
"Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia tukipigwa HAKUNA KUHAMA CHAMA wao wanaiomba Serikali iwasaidie Chadema kifutiwe usajili ili tukose wote."
Na watazipiga maana wanamuogopa LissuWanaendelea kujustify nafasi yao ili waendelee kupiga hela za Mama Abdul kwa kujaribu kuleta mifarakano Chadema.
Tatizo chadema hasa lisu haijulikani mnataka Nini wakati JPM akipinga ufisadi mlimpinga wakati JPM akijenga miundo mbinu ya barabara, reli na bwawa mlimpinga wakati analeta uwajibigaji Kwa watumishi wa umma mlisema anawaonea.Hao ni mapandikizi ya CCM na wajinga wa TISS waliotumwa kuleta mvurugano hapo CHADEMA.
Acha waendelee kula hela za hao CCM na TISS wajinga ila hawatafanikiwa maana CHADEMA ni mpango wa Mungu.
Wanajeshi wetu wanakufa Congo, Wananchi hawana madawa hospitali na maji ya Uhakika# Tina miundombinu mibovu ya barabara kila sehemu ila badala fedha zielekezwe kwenye mambo ya msingi zinapelekwa kutengeneza mamluki CHADEMA ili kuifanya isi focus kwenye No Reform No Election.
Ni maombi yangu kwa Mungu watokee wenye akili JWTZ wafanye mapinduzi kuwaondoa madarakani hawa wajinga CCM wanaotuharibia Taifa letu.
100%Kaka if you know you know .
Mbowe na Genge lake walimshindwa LISSU Licha ya Pesa zao .
LISSU sio mburula , kushindana naye jipange .
HahahhaTatizo chadema hasa lisu haijulikani mnataka Nini wakati JPM akipinga ufisadi mlimpinga wakati JPM akijenga miundo mbinu ya barabara, reli na bwawa mlimpinga wakati analeta uwajibigaji Kwa watumishi wa umma mlisema anawaonea.
Naona Tanzania hatuna chama Cha siasa chenye dira na sera si CCM wala chadema tena Kwa huyu wa 4R na machawa kwenye mkutano mkuu sijui labda kidogo JMP alijulikana anasimamia Nini licha ya mapungufu yake
Vp Yule malisa aliyehoji Samia kuvunja katiba ya CCM kufutwa uanachama ni Sawa mbona hatujamsikia huyo msajili akitoa pua njeTeam mbowe wameshapeleka malalamiko kwa msajili wa vyama kuwa lisu kavunja katiba ya chama, huyu dada anatoa taarifa tu
Mkuu hapo umenifungua macho aisee, nakubaliana na wewe hii ni StrategyWakijadili ndani hawataonekana wanakipenda chama.Hapo ni mkakati wakujisogeza karibu na mwenyekiti ili waje wapate kuungwa mkono badae kwenye harakati za kupata ubunge.Hakuna chochote hapo zaidi ya kila mtu kukodolea fursa matumbo yashibe kupitia kodi za wananchi.
Mbowe ile b12 bado ipo alimuambia maza kuwa japo ameshindwa uchaguzi ataitumia kumkwamisha Lissu kama hivi.Wanaendelea kujustify nafasi yao ili waendelee kupiga hela za Mama Abdul kwa kujaribu kuleta mifarakano Chadema.
huyo malisa hajapeleka taarifa kwa msajili wa vyamaVp Yule malisa aliyehoji Samia kuvunja katiba ya CCM kufutwa uanachama ni Sawa mbona hatujamsikia huyo msajili akitoa pua nje