Pre GE2025 Team Mbowe baada ya kuangukia pua uchaguzi sasa hivi wanaiomba Serikali waifutie usajili CHADEMA ili wote wakose

Pre GE2025 Team Mbowe baada ya kuangukia pua uchaguzi sasa hivi wanaiomba Serikali waifutie usajili CHADEMA ili wote wakose

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiki Chama kinajiua chenyewe kwa kasi, kwanini matatizo yao wasiyajadili ndani kuliko kuyafunua huku mitandaoni? Sisi tuwasaidieje sasa
Unapojisaidia nani anakusaidiaga?
 
Huyo dada ana wenge sana...

Umesikia popote yule Malissa anaepinga uteuzi wa Mwenyekit CCM akiitwa team JPM?

CDM iuwawe na Mchome alafu iokolewe na huyo kandambili wa temeke...

Wajinga wakubwa .
Nongwa itakuua safari hii. Cdm hawana chochote cha kuiga toka ccm.
 
Ameandika Hilda Newton

"Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema."

"Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia tukipigwa HAKUNA KUHAMA CHAMA wao wanaiomba Serikali iwasaidie Chadema kifutiwe usajili ili tukose wote."

Mbowe na timu yake ni watu wa hovyo
 
Ameandika Hilda Newton

"Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema."

"Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia tukipigwa HAKUNA KUHAMA CHAMA wao wanaiomba Serikali iwasaidie Chadema kifutiwe usajili ili tukose wote."

CHADEMA kama haikufa wala kugawanyika kwa figisu mbaya za ccm basi hata huyo msajili wa mchongo hataweza kuifuta
 
Back
Top Bottom