Unapojisaidia nani anakusaidiaga?Hiki Chama kinajiua chenyewe kwa kasi, kwanini matatizo yao wasiyajadili ndani kuliko kuyafunua huku mitandaoni? Sisi tuwasaidieje sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapojisaidia nani anakusaidiaga?Hiki Chama kinajiua chenyewe kwa kasi, kwanini matatizo yao wasiyajadili ndani kuliko kuyafunua huku mitandaoni? Sisi tuwasaidieje sasa
Nongwa itakuua safari hii. Cdm hawana chochote cha kuiga toka ccm.Huyo dada ana wenge sana...
Umesikia popote yule Malissa anaepinga uteuzi wa Mwenyekit CCM akiitwa team JPM?
CDM iuwawe na Mchome alafu iokolewe na huyo kandambili wa temeke...
Wajinga wakubwa .
Mbowe na timu yake ni watu wa hovyoAmeandika Hilda Newton
"Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema."
"Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia tukipigwa HAKUNA KUHAMA CHAMA wao wanaiomba Serikali iwasaidie Chadema kifutiwe usajili ili tukose wote."
Kwamba msajili anakaa ofisini tu hadi aletewe.mashita hawezi kufuatilia? Au mipaka yake ya kazi ni kusubiri ofisini tu?huyo malisa hajapeleka taarifa kwa msajili wa vyama
CHADEMA kama haikufa wala kugawanyika kwa figisu mbaya za ccm basi hata huyo msajili wa mchongo hataweza kuifutaAmeandika Hilda Newton
"Tulienda kwenye Uchaguzi wenzetu walikuwa na msemo wao unasema ‘UKIPIGWA HAKUNA KUHAMA CHAMA’ wakiamini kwamba Mhe. Lissu na Heche watapigwa na wakipigwa hawatabaki ndani ya Chadema."
"Mungu si Athuman Mhe. Lissu na Heche wakashinda sasa wale wale waliokuwa wanatuambia tukipigwa HAKUNA KUHAMA CHAMA wao wanaiomba Serikali iwasaidie Chadema kifutiwe usajili ili tukose wote."
Lazima uumie mipango yenu ovu inavyowekwa waziWe bwege hujawahi kuwa na akili, hv kwann ni kilaza hivyo? Ni udumavu wa lishe?