Team Mobeto wajibu mapigo!

Hiyo ni team wema,hamisa hana timu kubwa hivyo. Vinuka mkojo bana
 
Mnaonaje hii vita tukiwaachia wenyewe wapigane sisi tusubiri mshindi tu.
 
Hizi team zinacheza ligi daraja la ngapi?

Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
 
Hamisa anatia hasira aseee,,,sipati picha zari anaumia kiasi gani,,, sijui aliahidiwa nini na diamond mpaka akamzalia
 
Bora useme na wewe G. Mwanaume anayejitambua hawezi KAMWE kutumia huo upumbavu kumdhalilisha mwanamke yeyote yule.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…