Team Mobeto wajibu mapigo!

ni kweli kabisa yupo mbali maana mwanamke kujidai umeolewa huku ukiendelea kuuza vitu vyako kama gari ili umuhonge mwanaume akupende uonekane kwe font ford ni upumbavu wa hali ya juu.

Siku moja atarudi kwa mnigeria
 
Kwa hiyo Hamisa ni mwanaume alivyotukanwa bitch ,yeye hajadharirishwa?
Hamisa kaanza kujidhalilisha mwenyewe kwa kukubariki kuvua nguo kwa mtu ambaye tayari ana mtu.

Alipomvulia diamond kufanya hivyo ili nini? Je alibakwa? Ama alikua anamlipia kisasi bwanake àliye mwaga na kuanza kutoka na Lizbeth? Alijua mwisho wake ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hamisa alimvulia nguo mhuni tu kama wahuni wengine maana Diamond ni mali ya umma na si mume wa mtu
 
Maisha magumu acha watu wajifariji mkuu japo kwa matusi maana mkuu wa nchi mwenyewe ndio kaanzisha kutukana mawaziri wake acha na wao watukane anayekatisha anga zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamisa bana mama abdul hana makelele na mtu bora uwe na mke mwenza mwenye maneno maneno kuliko ambaye hakujibu siku akiamua kukujibu utajuta
 
IG with JF fullest collabo

thA God thA bubbs!!
 
nimekupenda bure dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…