Maisha pesa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2015
- 681
- 630
Baridi limechocheaUnaoa kwa sababu ya baridi?
Nilikuwa na mipango mkuu sema baridi hili limenikumbusha faida nyingine ya kuwa na mke ndani.mke hatafutwi kwa sababu ya kusikia baridi labda kama unatafuta kimada
Wanafaidi sana aiseeMmmmh unaona wenzio wanafaidi eeh
Jipange kijana. Ndoa siyo siku za mvua na baridi tuWanafaidi sana aisee
Kwanini utafute Mke usitafute Mwanamke?Jamani hii hali ya hewa mvua na kibaridi team single tunateseka sana. Wale wenye wake zao ndo wakati wa kututambia huu.. utasikia kwanini hauoi? Akyanani baridi linalonipiga nimeamua kutafuta mke.
Njoo tujirahisishie kazi.Haya buana,.cjui namm nitafute mume.. ?!
Njoo ww mm bado cjajitoa kwa shuka,.Njoo tujirahisishie kazi.
Pole mkuu kanyaga hata kwa mguu ufike.Hii hali ya mvua mvua inanifanya niwamiss Tausi, Mariamu, Prisca, Asha, Sania, na Ikupa.
Wanakokaa hata bajaji zimegoma kwenda kwa ajili ya ubovu wa barabara.
Sijui nifanyeje tu.
Sana aiseeHali ya hewa inahamasisha
Nimekutamani ghaflaNjoo ww mm bado cjajitoa kwa shuka,.