Omerta JF-Expert Member Joined Jan 3, 2016 Posts 5,957 Reaction score 7,505 Apr 17, 2016 #81 noiselessly hunter said: Namkumbuka jamila wangu,tulizinguana march mwaka huu,mtoto alikua na hot papuch na full nyegez,saa hizi ningekua nakonga nyoyo tu.sasa napigwa na baridi na kunywa tangawizi tu. Click to expand... Ha ha ha pole sana mkuu, tupasiane basi. Nitumie namba yake PM
noiselessly hunter said: Namkumbuka jamila wangu,tulizinguana march mwaka huu,mtoto alikua na hot papuch na full nyegez,saa hizi ningekua nakonga nyoyo tu.sasa napigwa na baridi na kunywa tangawizi tu. Click to expand... Ha ha ha pole sana mkuu, tupasiane basi. Nitumie namba yake PM
Rohombaya JF-Expert Member Joined Jul 4, 2011 Posts 13,067 Reaction score 10,393 Apr 17, 2016 #82 Maisha pesa said: Jamani hii hali ya hewa mvua na kibaridi team single tunateseka sana. Wale wenye wake zao ndo wakati wa kututambia huu utasikia kwanini hauoi? Akyanani baridi linalonipiga nimeamua kutafuta mke. Click to expand... Dah.. Kiongozi yaani wewe ni jipu. Yaani kupigwa na baridi umeona utafute mke badala ya kununua kiyoyozi [emoji15]
Maisha pesa said: Jamani hii hali ya hewa mvua na kibaridi team single tunateseka sana. Wale wenye wake zao ndo wakati wa kututambia huu utasikia kwanini hauoi? Akyanani baridi linalonipiga nimeamua kutafuta mke. Click to expand... Dah.. Kiongozi yaani wewe ni jipu. Yaani kupigwa na baridi umeona utafute mke badala ya kununua kiyoyozi [emoji15]
Joweba Senior Member Joined Aug 13, 2015 Posts 166 Reaction score 87 Apr 17, 2016 #83 Duu! Mkuu ushaanza ku-dill na Mumu tena!! We sumeshapata kiondoa balidi? Mumu tuachie sisi mkuu.
Ngonidema JF-Expert Member Joined Jul 30, 2015 Posts 2,720 Reaction score 2,688 Apr 17, 2016 #84 mumu said: Haya buana,.cjui namm nitafute mume.. ?! Click to expand... Kudadadeki kama nakuona!!