Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Kama kuumbuka nilishaumbuka tena si mara moja mara mbili watu tofauti huyu wa pili alisema yeye anatumia simu ya samsung.
Wa kwanza hakuweza hata kuniambia anatumia simu gani.
Kuna jamaa angu anatumia samsung nilimtumia picha ya view once yy hakuweza kuis screenshot wala kuihifadhi! hapo nikajua bado kuna cha kujifunza!
SWALI NI JE UNAWEZAJE KUIBYPASS HII TECHNOLOGIA YA VIEW ONCE??
Wababe wa medan za technologia za simu
Wa kwanza hakuweza hata kuniambia anatumia simu gani.
Kuna jamaa angu anatumia samsung nilimtumia picha ya view once yy hakuweza kuis screenshot wala kuihifadhi! hapo nikajua bado kuna cha kujifunza!
SWALI NI JE UNAWEZAJE KUIBYPASS HII TECHNOLOGIA YA VIEW ONCE??
Wababe wa medan za technologia za simu