Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
Hapo lazima uwe na simu mbili plus quality ya picha inapunguaunachukua cm nyingine unaipiga kwa juu
hao jamaa hawakutumia hiyo wao wali ireverse picha ile ileunachukua cm nyingine unaipiga kwa juu
Simu mbili. Simu moja unaitumia kuifungua picha husika, na simu nyingine unaitumia kuipiga picha picha..!!Kama kuumbuka nilishaumbuka tena si mara moja mara mbili watu tofauti huyu wa pili alisema yeye anatumia simu ya samsung...
Hii naijua tech nayoitaka si hiiiSimu mbili. Simu moja unaitumia kuifungua picha husika, na simu nyingine unaitumia kuipiga picha picha..!!
FafanunuaAlitumia gb whatsapp
Gb whatsapp inakuruhusu kuidownload picha iliyotumwa kwa view once na ukabaki nayo kwa galleryFafanunua
YesGBWhatsApp hiyo,unaweza kuidownload picha.
ukitumia hyo Gb wasap ndo inakuajeAlitumia gb whatsapp
mbona mi huwa natumia na siwezi
Tuelekeze kwa mifano kaka
pichaUlituma nn mkuu
MmhhGBWhatsApp hiyo,unaweza kuidownload picha.