Mara nyng nakuwa natumia pc so nakuwa natumia whatsapp pc simu naweka pemben, ukinitumia nikitaka kubak nayo natumia snipping tool ya windowsUnawezaje kubypass wasap screenshot na view once
Anatumia gbwatsap na wenzake
Kwa baadhi ya watuBado zipo hizo!?
Kwa baadhi ya watu
Ndio japo kwa sasa zinagoma kwa watu wengi.....watsap wamezifungia wanataka watu watumie official watsap tuOkay... Naweza ku download hiyo nikiwa na official app pia kwenye simu moja?