Technology nyuma ya film making

Technology nyuma ya film making

Kaka mimi niko serious jpo mifuko empty , daaah nawish nipewe scene kma ya mwamba wa 13 th friday ama jigsaw
hahaaha me pia Niko na idea kama yako mzee kufanya horror movie haiitaj budget nying sana haswa kama bongo ikitegemea na location zipo za kutosha lakin watu bado wanafel hembu wanipe meme nafac niwaandikie crpt kar sana coz nipo na idea nying sana za movie kichwan kwangu
 
ila pia uigizaji’’’’’wabongo hawajui kuigiza ila wazungu unakuta dogo wa miaka miwili au hata mbwa anamzidi kuigiza star wa bongo kama wolper au gabo.
 
ila pia uigizaji’’’’’wabongo hawajui kuigiza ila wazungu unakuta dogo wa miaka miwili au hata mbwa anamzidi kuigiza star wa bongo kama wolper au gabo.
kingne pia na ma director hatuna wazuri
 
Wadau mimi maono yangu njia itayofanya Dunia ielewe alaka ni kutengeneza Horror Movie (Zombie Based) hii zombie movie Ideal tunatengeneza viumbe wetu wenyewe wanaofanana na Zombie ila hatuwaiti Zombie tutatengebeza na chanzo ya hao viumbe.

Ili kupendeza tunakuwa na Open Seen nyingi na Mass movement namaanisha kama ile Seen ya World War Zombie Jerusalemu ndio tunafanya kitu kama kile pale Posta, Kariakoo na mitaa ya kijitonyama, Mlimanicity, Udsm.

Kitachovutia kuwa movie ya dunia ni kuonekana kwa Zombie weusi na kushindwanishwa na WWZ.
 
Wadau mimi maono yangu njia itayofanya Dunia ielewe alaka ni kutengeneza Horror Movie (Zombie Based) hii zombie movie Ideal tunatengeneza viumbe wetu wenyewe wanaofanana na Zombie ila hatuwaiti Zombie tutatengebeza na chanzo ya hao viumbe.

Ili kupendeza tunakuwa na Open Seen nyingi na Mass movement namaanisha kama ile Seen ya World War Zombie Jerusalemu ndio tunafanya kitu kama kile pale Posta, Kariakoo na mitaa ya kijitonyama, Mlimanicity, Udsm.

Kitachovutia kuwa movie ya dunia ni kuonekana kwa Zombie weusi na kushindwanishwa na WWZ.
gud idea me ntantengeneza cover moja ya atar sana
 
Wadau mimi maono yangu njia itayofanya Dunia ielewe alaka ni kutengeneza Horror Movie (Zombie Based) hii zombie movie Ideal tunatengeneza viumbe wetu wenyewe wanaofanana na Zombie ila hatuwaiti Zombie tutatengebeza na chanzo ya hao viumbe.

Ili kupendeza tunakuwa na Open Seen nyingi na Mass movement namaanisha kama ile Seen ya World War Zombie Jerusalemu ndio tunafanya kitu kama kile pale Posta, Kariakoo na mitaa ya kijitonyama, Mlimanicity, Udsm.

Kitachovutia kuwa movie ya dunia ni kuonekana kwa Zombie weusi na kushindwanishwa na WWZ.
Ila kwa movie ya mazombi haito vutia wengi bola iwe ya kutisha tu na iwe tofaut na za APA kwetu
 
Nimeangalia sana Comment ya fans kwenye mitandao wanashauku ya kuona Zombie wenye race ya black inaweza kuwa Banger.
Ila kwa movie ya mazombi haito vutia wengi bola iwe ya kutisha tu na iwe tofaut na za APA kwetu
 
Nimeangalia sana Comment ya fans kwenye mitandao wanashauku ya kuona Zombie wenye race ya black inaweza kuwa Banger.

Hii muvi mbn kama ishaigizwa. Na kina gabo,,, Tena gabo alikuwa polisi ikarishwa azam play na cinemas
 
Jana nilikuwa ninasoma kuhusu franchise ya the matrix, nilistaajabu kwamba filamu ya the matrix revolution ilihusisha wataalaamu wa hesabu, aerodynamics, fluid dynamics, physics, computer engineers, programmers, graphic and animators zaidi ya 200 kuifanikisha. Walienda mbali zaidi mpaka kutengeneza kuunda special program kwa ajili ya kazi ya special effects.

Kuna scene moja ambapo Neo anafukuzwa na moto, ina sekunde sita ila ilichukua miezi 6 kuikamilisha kuufanya ule moto uwe perfect.

Baada ya utengenezaji, waliandika paper kwa ajili ya watu wengine kutumia katika kutengeneza effects, maana walikuwa wamekuja na mbinu mpya za kutengeneza effects mbalimbali, kuchukua picha ikiwemo bullet, time slice, nakadhalika ambapo iliset standard for future science fiction action movies.
Wazungu hawana jambo dogo kabisa.
 
Hii muvi mbn kama ishaigizwa. Na kina gabo,,, Tena gabo alikuwa polisi ikarishwa azam play na cinemas
Duu hemu karudie kusoma Movie nayoizungumzia kwanza vizuri then ufananishe na utopolo wa gabo.
 
Duu hemu karudie kusoma Movie nayoizungumzia kwanza vizuri then ufananishe na utopolo wa gabo.

Nimerudia,, naona idea ni ile ile tofauti ni kuwa ww unasema iwe posta kariakoo, wao walifanyia porini kwenye magari ila black zombies walikuwepo
 
Back
Top Bottom