dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hata muweke almasi umo ndani, hakuna kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Android 12 inakuja kwa simu za Phantom X na Camon 17, Camon 18Nyie vipi ? Sasa Tetesi zinatolewa na akaunti rasmi ? Tetesi zinatakiwa zitoke uchochoroni huko.
Mimi nina Tecno ipo android 6.0 ni lini nitapata android 12 au ndio basi tena ?🐒
Kuanzia Tsh 500,000/= boss700,000 mpaka 1M huko Duniani.
Laki 5 ni Camon 18 ama Camon 18 premier?Kuanzia Tsh 500,000/= boss
Ajabu imetolewa kwa account rasmiEti " japo simu hiyo haijatambulishwa rasmi lakini tayari kuna tetesi huenda simu hiyo ni TECNO Camon 18. "[emoji1][emoji1]
Hawa watu ni wajinga asee, simu inatangazwa hadi kwenye vituo vya tv afu wao wanasema eti ni tetesi haijatambulishwa bado
Relax bro usijipe stress kwa jirani yako kula vzriGimbal wanayo Vivo tu... The rest are trash.
Hio shida huwezi tumia alternative ya wireless technology?Nyie watu hivi hakuna uwezekano wa kubadilisha hii tekno spark3 yangu kwa spark 8 maana nina shida na simu yenye otg kwa kuongezea pesa ama hiyo huduma ilisitishwa
Watumiaji wa Tecno tuheshimiwe tafadhali.Eti inayopendwa na wengi. Ongezea pia INAYOPENDWA NA MASIKINI WENGI.
Mkubwa nilitaka niitumie hii spark 3 kufanya kazi ya kusajili line maana hizi famoco naona ni matatizo matupuHio shida huwezi tumia alternative ya wireless technology?
Nimekupata mkuu, Uza nunua Nyengine,Mkubwa nilitaka niitumie hii spark 3 kufanya kazi ya kusajili line maana hizi famoco naona ni matatizo matupu
Sawa bossNimekupata mkuu, Uza nunua Nyengine,
Dah ahsanteni kwa ufafanuzi mmenipiga na kitu kizito☹️Android 12 inakuja kwa simu za Phantom X na Camon 17, Camon 18
Ngachokaaa admin wa TECNO Tanzania njoo hapaLaki 5 ni Camon 18 ama Camon 18 premier?
Maana yenye Gimbal ni Camon 18 premier, kama 18 premier ni laki 5 tuoneshe na duka linalouza hio bei.
Mkubwa nilitaka niitumie hii spark 3 kufanya kazi ya kusajili line maana hizi famoco naona ni matatizo matupu