TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

Kwa nini wasitupunguzie bei na huwawei? ...maana zinatoka hukohuko China lakini zina balaa sio la dunia hii.!
 
Sijajua kwanini watu wanaoonekana kutumia kampuni hii wanatafsirika kua ni maskini?

Ila tuwe seriuos itel kwa smartphone ni zaidi ya ushuzi
Umasikini unaozungumziwa hapo sio tu wa kipesa pekee
hata wa kiakili pia 7bu watumiaji wa TECNO wanakuletea simu zao uwarekebishie huku wanailalamikia weee hiyo TECNO
Basi unamshauri ukipata tena pesa ununue
Samsung fulani nzuri
anakuahidi sawa sasa hivi piga ua nachukua samsung
Akipata hiyo ela sasa kashavuta SPACK 5 nyingne ukimuuliza vipi si tuliongea wewe
Utasikia ooh samsung chaji bana hazikai na vioo vikivunjika bei sijui nini na nini
Huwa nawaacha tu linambumia tena
Wewe mzee na samsung yako unapeta
Anaanza lalama hii simu nimenunua hata mwako bado bora ningesikiliza ushauri wako

Sasa mtu km huyo kama sio umasikini wa akili pia kumbe nini
 
Sidhani kama ni sahihi sana kusema Africa “wanapenda” zaidi Tecno kuliko simu zingine

Ukweli ni kwamba waafrica tuna afford kununua Tecno

Sio kweli kwamba ugali ndio chakula pendwa Tz
Bali ndio chakula watu wengi wanakimudu
Ugali ndio chakula pendwa tanzania bara hilo halina UBISHI cha pili wali tatu chips

Tofauti na wanzanzibar UGALI hawaupendi na hawautaki hata kuusikia yaan hawautaki kabisa na ukitaka kumfukuza mgeni wa kinzanzibari nyumbani kwako piga ugali mfululizo siku tatu atakuaga mwenyewe

Tofauti na watanzania bara kwa ugali sisi tumeshindikana hasa ugali samaki kukaanga ugali nyamachoma na pilipili zike za kuswaga na mbilimbili au kachumbari mzee mwezangu ututoi hapo
Lakini wanzanzibari Wao ubwabwa tu aisee tena chuzi mpk litokee chini ya sahani
 
Mmiliki wa TECNO anatumia IPHONE....
Nilikuwa staff moja na waalimu wa lugha ya kichina sikumwona hata mmoja anatumia TECNO au SAMSUNG woote walikuwa wanatumia IPHONE hata nilipotembelea apartment walizopangishwa nilikuta vifaa vya kielectronic wanavyotumia ni yale majina makubwa brand za japan na korea kusini
 
Watu wa humu wengi wanamaisha ya kuigiza kwa kuandika andika tu,wanajifanya matawi alafu unamkuta kwenye uzi unaohusu ugumu wa maisha mtu wa matawi anacomment"nimewekewa kufuli na maza house kwasababu ananidai kodi ya miezi minne sijui ntalala wapi"
😂 😂 😂
 
Uzuri wameweka wazi kuwa moja ya sababu ni Corona.

Umetoka kupigika kiuchumi baada ya lockdown, Bila shaka utatafuta cha bei nafuu.

Wapinzani wengi(Samsung, iphone, Nokia, Google n.k) walikua ndio kwanza experience lockdown hivyo nguvu kazi ilipungua viwandani na pia hakukua na Shipping au ilikua ndogo sana huku Tecno akirahisisha zaidi kwa kua na kiwanda africa.
Sawa mkuu
 
Swali Kwa Mtoa Mada.
Umekwenda Dukani Kununua Simu Ukakuta TECNO na SAMSUNG Zenye Uwezo Unaofanana Zinauzwa Bei Moja Wewe Utanunua Simu Gani?.
Binafsi nitanunua Samsung mkuu
 
[emoji38][emoji38]hata mwanaume na akili timamu,ukiishaonekana unatumia hiyo brand watu wanapoteza umakini na wewe.

mtu unatoa laki 350 unachukua tecno[emoji16]kweli!!!!
😂😂😂
 
Sijajua kwanini watu wanaoonekana kutumia kampuni hii wanatafsirika kua ni maskini?

Ila tuwe seriuos itel kwa smartphone ni zaidi ya ushuzi
Utofauti ni upi mkuu kama mmiliki wa tecno na itel ni yule yule
 
Utofauti ni upi mkuu kama mmiliki wa tecno na itel ni yule yule
Kwakua Zantel na tigo zilikua zinamilikiwa na mtu mmoja hivyo zantel ilikua inafanana na tigo kiubora wa mtandao?
 
Back
Top Bottom