TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

TECNO kutwaa tuzo ya simu pendwa baada ya kuishinda Samsung

Kwakua Zantel na tigo zilikua zinamilikiwa na mtu mmoja hivyo zantel ilikua inafanana na tigo kiubora wa mtandao?
Tigo alimnunua zantel na kila kitu chake ina maana ni kampuni mbili working independently under the same umbrella.

Japokuwa brand yao ya tecno ndiyo kwao high end, lakini haijatofautina sana na itel. Ndiyo maana hata wao wanalenga soko la africa na India. Actually, wamefanikiwa sana sokoni. Ni mojawapo ya kampuni ambazo zilifanya utafiti africa na kujua watu wanataka nini. Masuala ya line zaidi ya moja, sijui sim kukaa na chaj sana.
Lakini kiubora ni brand ambazo hazijazidiana.
 
Tigo alimnunua zantel na kila kitu chake ina maana ni kampuni mbili working independently under the same umbrella.

Japokuwa brand yao ya tecno ndiyo kwao high end, lakini haijatofautina sana na itel. Ndiyo maana hata wao wanalenga soko la africa na India. Actually, wamefanikiwa sana sokoni. Ni mojawapo ya kampuni ambazo zilifanya utafiti africa na kujua watu wanataka nini. Masuala ya line zaidi ya moja, sijui sim kukaa na chaj sana.
Lakini kiubora ni brand ambazo hazijazidiana.
Kampuni mbili zinaweza kua na miliki mmoja na bado zikatofautiana kulingana na malengo ya mmiliki kajidhatiti katika kitengo gani

Itel kabamba kwenye keypads phone na simu zake actualy ziko vizuri kuliko tecno

Lakini kwenye smartphone Itel kabolonga sana kuanzia nje mpaka ndani ni hovyo. Unakuta touch sensor magumashi kubofya mpaka msuli na timing vinginevyo unaweza bofya "R" badala ya "W" (labda hizi latest ambazo sijaziona)
 
Ugari ndio chakura pendwa tanzania bara hilo halina UBISHI cha pili wali tatu chips

Tofauti na wanzanzibar UGARI hawaupendi na hawautaki hata kuusikia yaan hawautaki kabisa na ukitaka kumfukuza mgeni wa kinzanzibari nyumbani piga ugari mfululizo siku tatu atakuaga mwenyewe

Tofauti na watanzania bara kwa ugari tumeshindikana hasa ugari samaki kukaanga ugari nyamachoma ututoi
Wao ubwabwa tu aisee
Au Ugali na Kabichi
 
Mmiliki wa TECNO anatumia IPHONE....
Nilikuwa staff moja na waalimu wa lugha ya kichina sikumwona hata mmoja anatumia TECNO au SAMSUNG woote walikuwa wanatumia IPHONE hata nilipotembelea apartment walizopangishwa nilikuta vifaa vya kielectronic wanavyotumia ni yale majina makubwa brand za japan na korea kusini
Sasa wewe ilitakaje?
 
Tigo alimnunua zantel na kila kitu chake ina maana ni kampuni mbili working independently under the same umbrella.

Japokuwa brand yao ya tecno ndiyo kwao high end, lakini haijatofautina sana na itel. Ndiyo maana hata wao wanalenga soko la africa na India. Actually, wamefanikiwa sana sokoni. Ni mojawapo ya kampuni ambazo zilifanya utafiti africa na kujua watu wanataka nini. Masuala ya line zaidi ya moja, sijui sim kukaa na chaj sana.
Lakini kiubora ni brand ambazo hazijazidiana.
Yah no kweli
 
Kila mmiliki wa tecno anatamani kumiliki sumsung lakini hakuna mmiliki wa sumsung anaetamani kumiliki tecno. Tecno kinachowabeba ni bei iko affordable kwa watu wengi wenye vipato vya chini na Kati.
Inategemea na Aina hiyo ya Samsung
 
Ila viswaswadu vya itel ni baba lao..kama unabisaha pita ofisi 10 za kufanya miamala ya pesaa utakuta wanateleza na itel tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijalinganisha mkuu, nimesema kila mtumiaji wa tecno anatamani kumiliki sumsung ila hakuna mtumiaji wa sumsung anaetamani kumiliki tecno,,, hiyo comment nlikua namjibu mdau mmoja hapo aliekua ananiambia inategemeana na aina ya samsung.
Kweli bro unalinganisha samsung na tecno .
Kweli .tuwe siriaz basi ata kidogo
Ja
 
Kwa nini wasitupunguzie bei na huwawei? ...maana zinatoka hukohuko China lakini zina balaa sio la dunia hii.!
Huawei ni campany bora kabisa ukitoa samsung na i phone anafata yeye inamaana ni wa 3 kwa ubora duniani alaf wanafuata wengine, kwa maana iyo si tecno wala infinixy kweny 30 bora watakua hawamo kweny viwango vya ubora. Sema tecno kashika soko la afrika coz africa wengi kiuwezo tupo chini, ndo maana tecno hana simu ya milion kwenda juu atamuuzia nani wakati haina viwango? On myself siipondi tecno coz nimetumia sana, kisha nikanunua huawei, kisha nikatumia samsung...niliporudi tena kweny tecno nilipata tabu sana kwani nilikua naona kama nipo jizan hapo ndo nikagundua tecno low quality na ukichunguza sana zinaumiza macho sema uwez jua mpaka uwe nazo kalibu zote ndo utajua. Lakin pia wapo wanaotumia i phone wapandisha mabega, kwa .mimi sjawai kufikilia kutumia kutokana na masharit ya simu.....lakin pia watumia i phone weng wanatumia simu used yaan matoleo yaliopita ukitafuta wanaotumia i phone x ni wachache ingawa toleo limepita nalo kwaiyo weng wanavimba na mitumba yao iliyoisha na wakati. Mimi kipato chang ni cha kununua simu za midrange naenda shop kununua kutokana na huwezo ila kama nina uwezo akika tecno situmii na i phone naenda kununua matoleo mapya........je i phone wana matoleo ya midrange kwa sasa au tusumiri mpaka zipitwe na wakati...[emoji38][emoji38][emoji38]wenzio wanatumia ios14 ww upo kwenye ios6 na unavimba unajiona umeuchinja watumiaji wa i phone nao[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Back
Top Bottom