Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndiyo viongozi mizigo hawaHuyo jamaa ni bure kabisa
Limekuwa chipukizi la ccm sio taifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo viongozi mizigo hawaHuyo jamaa ni bure kabisa
Limekuwa chipukizi la ccm sio taifa.
Tatizo anaishi kwa shemeji yake, kula kulala bureVery low
Hapo ulipo unaishi kwa mashaka
Ndugu zako wanapigika kwa ugum wa maisha, hakuna ajira na hawana fedha
Wewe endelea na mapambio
jingalao ni shangazi yako siyo! Maana ni wajinga kama ID zenu
Naamini hamjielewi ndiyo maana mnaropoka JF kama viongozi wenu kwenye majukwaa ya kampeni. Je, mwaweza kuwalinganisha na huyu?
Wanang'ang'ania Chadema kwani wanalipwa??Sasa kama watu hawataki utawalazimisha?.
Vyama vipo vingi si wakaoneshe mikutano yao?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Tena round hii mawe yatawahusu mpaka wasahau makavelo yaoWakirudia upuuzi tunafukuza tena
Hahahahaaaa! Mbona mkali kiasi hiko mkuu, Mimi nimeuliza swali kutaka kujua, badala yake unanitukana" nikueleweje sasa,
Tuliza mshono huoHahahahaaaa! Mbona mkali kiasi hiko mkuu, Mimi nimeuliza swali kutaka kujua, badala yake unanitukana" nikueleweje sasa,
Duh" basi wewe ni jinga!
hawana hasara unadhani wanapenda wasipotazamwa?Wanyooke kwa lipi? Hawana hasara hata senti moja!
Unapiga ramli.Very low
Hapo ulipo unaishi kwa mashaka
Ndugu zako wanapigika kwa ugum wa maisha, hakuna ajira na hawana fedha
Wewe endelea na mapambio
Kwahiyo wewe hiyo kazi ya kuramba viatu vya chakubanga ndiyo unajivunia? Insane!Unapiga ramli.
Kazi hamtaki kufanya kutwa mitandaoni kuishambulia serikali
Silambi viatu mkuu.Kwahiyo wewe hiyo kazi ya kuramba viatu vya chakubanga ndiyo unajivunia? Insane!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapike chai kwanzaSilambi viatu mkuu.
Kwani Loketo mnamfanyaje kwa sasa? Juzi hapa kasema akipata urais mtaenda kufugia hifadhi za Taifa..... more than imbecile
Lazima tuone kwa picha za drone, hamna kuficha kitu mwaka huu na kupost mapicha ya enzi za Lowasa lazima TBC ilete vitu live liveWanang'ang'ania Chadema kwani wanalipwa??
Katoeni live ya CCMLazima tuone kwa picha za drone, hamna kuficha kitu mwaka huu na kupost mapicha ya enzi za Lowasa lazima TBC ilete vitu live live
Tunachek hapa channel 10 mwendo wa drone still picha mnatoKatoeni live ya CCM
Hifadhi za taifa kama cha Burigi Chato tupa kule.Silambi viatu mkuu.
Kwani Loketo mnamfanyaje kwa sasa? Juzi hapa kasema akipata urais mtaenda kufugia hifadhi za Taifa..... more than imbecile