Dr Bill
JF-Expert Member
- Aug 26, 2020
- 463
- 436
NDIO Maana nimesema kwa wenye Akili Kubwa Maana nawajua BAVICHA Akili zenuHatukuhitaji kwa muda wa miaka mitano na hatujapoteza chochote wao waendelee na JPm na CCM yao. Mambo yetu hayawahusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NDIO Maana nimesema kwa wenye Akili Kubwa Maana nawajua BAVICHA Akili zenuHatukuhitaji kwa muda wa miaka mitano na hatujapoteza chochote wao waendelee na JPm na CCM yao. Mambo yetu hayawahusu.
JK atawaambia akili za kuambiwa changanya na zako.Roho zitawauma sana. Naona JK anasuasua kuja kuokoa jahazi linazama.
Mvute shati mwenyekiti basi wasishikane mikono na RiobaKwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Naamini hamjielewi ndiyo maana mnaropoka JF kama viongozi wenu kwenye majukwaa ya kampeni. Je, mwaweza kuwalinganisha na huyu?Roho zitawauma sana. Naona JK anasuasua kuja kuokoa jahazi linazama.
Mbona Mbowe amesalimu amri?Kwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
SASA hivi hatutafukuza tutapiga makofi!Wakirudia upuuzi tunafukuza tena
Wapi unaona kunaneno msamaha vichwa ambavyo vinatumika kubeba nywele tu utavijua tuSi mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?
Ukienda kwenye msiba au harusi ukafukuzwa kama mbwa utajisikiaje? au aliyekufukuza unadhani kuna hasara atapata?Kwani wanahasara gani wao? Mtanyooka tu!
Ryioba mwenyewe alikiriTbc watakua na wakati mgumu sana... Yaani
Jiulize nani alimtafuta mwenzake ndiyo uje kurohoja hapaMbona Mbowe amesalimu amri?
Mbowe ni muungwana, kaombwa kupatanishwa na hayo ma tbcMvute shati mwenyekiti basi wasishikane mikono na Rioba
Utaishia kutukana tu mitandaoni wakati wewe unatukanwa na mabwana zakoNaamini hamjielewi ndiyo maana mnaropoka JF kama viongozi wenu kwenye majukwaa ya kampeni. Je, mwaweza kuwalinganisha na huyu?
Umeonaeeeee? Hao majamaa ni mawakala tu wa lumumbaMic zao zinaweza kuwa na kemikalj zisizo salama kwa wagombea
Mm siwaamini kabisa hao TBC. John aliondoka Ayoub Ryoba hana chake TBC hivyo yuko tayari kutumika vibaya.
Mkuu Ryoba wa 2014 na Ryoba wa 2020 ni tofauti sana kabisa kitabia labda kinacho fanana ni sura tu.Mm siwaamini kabisa hao TBC. John aliondoka Ayoub Ryoba hana chake TBC hivyo yuko tayari kutumika vibaya.
Bosi wako kaenda kuwapigia magoti.
Kasuku kama wewe hamtuhangaishi wala kutustua
Mkuu Ryoba wa 2014 na Ryoba wa 2020 ni tofauti sana kabisa kitabia labda kinacho fanana ni sura tu.
Sent using Jamii Forums mobile app