Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Hatukuhitaji kwa muda wa miaka mitano na hatujapoteza chochote wao waendelee na JPm na CCM yao. Mambo yetu hayawahusu.
NDIO Maana nimesema kwa wenye Akili Kubwa Maana nawajua BAVICHA Akili zenu
 
Roho zitawauma sana. Naona JK anasuasua kuja kuokoa jahazi linazama.
Naamini hamjielewi ndiyo maana mnaropoka JF kama viongozi wenu kwenye majukwaa ya kampeni. Je, mwaweza kuwalinganisha na huyu?

 
Hiyo TBCC mimi niliamua kuifuta kabsaa. News za JF ndio naona zipo bila upendeleo.
 
Mbona WhatsApp poa tu. Tunachungulia pamoja na bwana yule!!!
 
Bosi wako kaenda kuwapigia magoti.

Kasuku kama wewe hamtuhangaishi wala kutustua

Very low

Hapo ulipo unaishi kwa mashaka

Ndugu zako wanapigika kwa ugum wa maisha, hakuna ajira na hawana fedha

Wewe endelea na mapambio
 
Back
Top Bottom