G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Rudi ukasome tamko maana wewe ni mpuuzi sana. Unajiandikia andikia tu hata hujasoma kilichotolewa!Kwani wanahasara gani wao? Mtanyooka tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi ukasome tamko maana wewe ni mpuuzi sana. Unajiandikia andikia tu hata hujasoma kilichotolewa!Kwani wanahasara gani wao? Mtanyooka tu!
Haya tuma salamu kwa maCCM wenzako 156 popote walipo.Walie wakati wanakila kitu unafikiri na wao wanatoa mabakuli ya kuomba michango ya pesa kama wanasaccos??
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Mahera, wakati anafungua kikao hicho cha usuluhishi, amesema vyombo vya habari vya umma vinawajibika kutoa fursa sawa kwa vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi kwa mujibu wa kifungu cha 53 (2) cha Sheria ya Uchaguzi ya Mwaka 2010, sambamba na Maadili ya Uchaguzi, Katiba ya Tanzania, Sheria mbalimbali na maelekezo ya Tume.
Wapi imeandikwa Chadema wameomba msamaha, inaelekea haukijui vizuri kiswahili.Si mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?
Kwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Nikweli kipindi hiki watu wanatumia sana mitandao ya kijamii kuliko hizo taarifa za habari na magazetiKwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Mbona lugha iliyotumika ni rahisi unakwama wapi!😂 😂 😂 😂
mbowe mwenyewe kaona umuhimu wa kupatana we kapuku unaongea nn
Subiri mpaka uone pameandikwa!Wapi imeandikwa Chadema wameomba msamaha, inaelekea haukijui vizuri kiswahili.
Na nani?Wamepewa maelekezo kutorusha habari za CHADEMA!
BoscoNa nani?
Mbona lugha iliyotumika ni rahisi unakwama wapi!
Basi saccos itanyoka!Bosco
Tbc ni makada wa ccm, wasije kutuletea nuksiNikweli kipindi hiki watu wanatumia sana mitandao ya kijamii kuliko hizo taarifa za habari na magazeti