Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Mkurugenzi wa Uchaguzi Dk. Mahera, wakati anafungua kikao hicho cha usuluhishi, amesema vyombo vya habari vya umma vinawajibika kutoa fursa sawa kwa vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi kwa mujibu wa kifungu cha 53 (2) cha Sheria ya Uchaguzi ya Mwaka 2010, sambamba na Maadili ya Uchaguzi, Katiba ya Tanzania, Sheria mbalimbali na maelekezo ya Tume.

Haya TBC tunawaangalia kama angalizo hili mtalitekeleza bila kujali serikali ya CCM inawaambia nini.
 
Nawapongeza sana TEF kwa jitihada zao na kutambua umuhimu wa uhirikiano baina vyama vya upinzani na media hasa TBC.

Vinginevyo ni jambo jema kwamba mkurugenzi wa TBC ameyaona mapungufu yao.
Ni habari njema.
 
Sasa wale "masalakumbwete" wa Pwani waliotoa tamko la kutoandika habari za Chadema itakuaje!!?
 
Back
Top Bottom