Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Katika hili aliyekua anaumia ni cdm wala sio TBC. Ndio maana cdm wameenda kuomba poo. Nimechukia Sana.
Hata TBC kibiashara siyo nzuri. Kwa kuwapa muda vyama vya siasa kunadi sera zao wataonngeza mapato kwenye matangzo ya biashara.
 
Wakirudia upuuzi tunafukuza tena

Mkuu sidhani TBC ana ubavu wa kuweka balanced news.Kila siku tumeshuhudia TBC ikiwapa CCM coverage wao tu kana kwamba vyama vingine havishiriki uchaguzi.

Mbowe kadanganywa bila kujielewa,TBC ndio ingepata pressure kutoka kwa wafadhili inaotegemea.
 
Huo ndio ukomavu na kupevuka kisiasa.

Maridhiano ni msingi wa amani inayotaka kuvurugika.

Hongera kwa wote mlioshiriki kuleta huu utulivu wa wanasiasa na wanahabari.
 
Kwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Mbowe kashaamua sasa, wewe kidagaa tu hapo chadema huna maamuzi yeyote
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Haya sasa bavicha mlisema hamuombi radhi
 
Wamemalizaje?TBC wanapaswa kujirekebisha,vinginevyo yatajirudia na yatawakumba makubwa zaidi
Ati TBC ina haribiwa taswira ambayo ni gharama kuurudisha. Hivi Tbc wana wateja kwa sasa zaudi ya Ccm? Yaani hata Chadema wakpeleka ranfazo Tbc halutavwafikia walengwa maana hatuangalii Tbc
 
Usuluhishi huu umefanyika chini ya TEF, Mkurugenzi wa NEC pamoja na Mbowe. TBC iliwakilishwa na Rioba wakati Chadema iliwakilishwa na Mwenyekiti Mbowe.

Hivyo kuanzia sasa wamekubaliana kuanzia kesho wataanza kurusha mikutano ya CHADEMA.

SOURCE TBC Aridhio.
 
Lipo Jambo la kiufundi ambalo bado naona Kuna dosari na sii kea Tbc pekee hata wadau wengine was habari.Ni jinsi wanavyo lenga kuonyesha hadhira matukio na wingi was mahudhurio Kama kweli wameona Kuna haha ya maridhiano wote warekebishe eneo hili. Ili kuepuka Hali Kama hii iliyo jitokeza.
 
Back
Top Bottom