Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sanaaaaKajinyonge!
Kwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Haina haja ya kuwarushia matangazo? Hiyi jeuri mnaitoa wapi? wakati hata online Media hamna imeparalyse , kila siku mnakilalamikia kitengo chenu cha habari hapaKwanza CHADEMA haina haja ya kurushiwa matangazo na hao wana CCM.
Wanachadema wana nguvu nyuma ya keyboards tuu..... wataongeaaa, watatukana, watatishia, watajiapiza kufanya mambo hahaha sasa subiri utekelezajeNisamehe mtani!! Ila mwaka huu tunawagegeda wakavu wakavu! Mkijidai kuiba kura tunaingiza raia barabarani maana mwaka huu hatukubaki kuibiwa kiboya!
Cdm ni mpango wa Mungu, hivyo kila kitu kinacho fanyika ndani ya cdm ni kwa uwezo wa Mungu.Haina haja ya kuwarushia matangazo? Hiyi jeuri mnaitoa wapi? wakati hata online Media hamna imeparalyse , kila siku mnakilalamikia kitengo chenu cha habari hapa
Kanawe miguu ulale weweWanachadema wana nguvu nyuma ya keyboards tuu..... wataongeaaa, watatukana, watatishia, watajiapiza kufanya mambo hahaha sasa subiri utekelezaje
Ndio utajua hili ni kundi la wasanii. Nani mjinga akubali kujitoa sadaka kwa kuvunja sheria za nchi
Mkuu inawezekana onlinemedia yao iko vizuri ila tatizo ni ni mapokezi na idadi ya watu wanaohudhuria katika mikutano yao.Haina haja ya kuwarushia matangazo? Hiyi jeuri mnaitoa wapi? wakati hata online Media hamna imeparalyse , kila siku mnakilalamikia kitengo chenu cha habari hapa
nyie ni weupe sana! kelel zote sjui tunawapa dakika 15 mwisho wa reli lazima ushuke
😂😂😂😂haya lakini si kweli!!??
Ni kweli mkubwa CDM ni mpango wa mungu na siyo mpango wa Mungu.Cdm ni mpango wa Mungu, hivyo kila kitu kinacho fanyika ndani ya cdm ni kwa uwezo wa Mungu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamuulize chakubanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya lakini si kweli!!??
Wanachadema wana nguvu nyuma ya keyboards tuu..... wataongeaaa, watatukana, watatishia, watajiapiza kufanya mambo hahaha sasa subiri utekelezaje
Ndio utajua hili ni kundi la wasanii. Nani mjinga akubali kujitoa sadaka kwa kuvunja sheria za nchi
Chadema wajichunge sana sasa. Warudie kusoma tena muongozo wa kampeni tena kwa umakiniTbc itakua wameona habari zakurusha mgombea wa ccm tu hazina hamsha hamsha imewabidi wajisogeze tena cdm angalau wasikike.
Ni wakati CDM baada ya kususwa na vyombo vya habari ndiyo wakaomba maridhiano, kama wangekuwa jeuri wangekataa maridhiano.Tbc itakua wameona habari zakurusha mgombea wa ccm tu hazina hamsha hamsha imewabidi wajisogeze tena cdm angalau wasikike.
Kha! Nimefanyaje mkuu??Mama una maneno kumbee. Halafu kumbe upo vizuri upstairs! Nilidhani ni mdau wa MMU tu