Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Hakuna kitu kama hicho TBC kutorusha mikutano ya upinzani ilikuwa inaleta doa kubwa sana kwao.

Hata kufukuzwa mkutanoni kuliwachafua sana nadhani hata views zilipungua sana kwa watu.

Maana hata mkutano wa ACT walilalamikiwa hivyo hivyo.
Siyo kweli kama hivyo ndivyo kwanini mmliki wa SACCOSS amekubali kukaa meza ya maridhiano ? .
 
Hakuna kitu kama hicho TBC kutorusha mikutano ya upinzani ilikuwa inaleta doa kubwa sana kwao.

Hata kufukuzwa mkutanoni kuliwachafua sana nadhani hata views zilipungua sana kwa watu.

Maana hata mkutano wa ACT walilalamikiwa hivyo hivyo.
Ila Mbowe hua ana busara za kidwanzi sana,sasa amewalegezea hao jamaa ili iweje sasa wkt wataendelea na utaratibu wao huo huo

Jino kwa jino ilikua ndio mpango mzima.
 
Ila Mbowe hua ana busara za kidwanzi sana,sasa amewalegezea hao jamaa ili iweje sasa wkt wataendelea na utaratibu wao huo huo

Jino kwa jino ilikua ndio mpango mzima.
Hahaha hapana ngoja tuone watabadilika vipi
 
Tbc itakua wameona habari zakurusha mgombea wa ccm tu hazina hamsha hamsha imewabidi wajisogeze tena cdm angalau wasikike.

aiseee unadhan tbc wanapiga picha chogo wa watu ili warushe, ukweli na uhakika ndo slogan yao ndo maana wamenunua drone! be sure 4 more cdm candidates will join ccm
 
Mh,,wameelewana kabla sijakubali?..!!,naomba hayo maekewano yasitishwe kwanza
 
Saccos ndiyo nini ?
SACCOS ni Asasi ya fedha ya ushirika inayoundwa na watu waliojiunga pamoja kwa hiari yao wenyewe
ambao wamekubaliana kuweka fedha zao pamoja na kukopeshana kwa lengo la kujiendeleza kiuchumi😂😂😂
 
SACCOS ni Asasi ya fedha ya ushirika inayoundwa na watu waliojiunga pamoja kwa hiari yao wenyewe
ambao wamekubaliana kuweka fedha zao pamoja na kukopeshana kwa lengo la kujiendeleza kiuchumi[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa inahusiana nini na hii mada ?
 
SACCOS ni Asasi ya fedha ya ushirika inayoundwa na watu waliojiunga pamoja kwa hiari yao wenyewe
ambao wamekubaliana kuweka fedha zao pamoja na kukopeshana kwa lengo la kujiendeleza kiuchumi😂😂😂

Aisee
 
Back
Top Bottom