GBBali
JF-Expert Member
- Sep 2, 2013
- 1,931
- 537
Vp huu mkataba ni wa Tibaijuka. Uelewa?Waibe hela wengine,sisi tulipe deni? Hii haikubaliki. Tibaijuka na wenzako mkalipe deni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp huu mkataba ni wa Tibaijuka. Uelewa?Waibe hela wengine,sisi tulipe deni? Hii haikubaliki. Tibaijuka na wenzako mkalipe deni
Ndiyo hivyo sasa mdau hiyo pesa inaenda kwa wajanja wenye uchungu na nchi yao wakafaidi,tuliachia nyani shamba na sasa tunavuna mabua.Hawa wataalam wetu wa mikataba sijui hata walikua wapi mikataba kandamizi km huu unafanyika?Nasikitika sana kwa kweli,, inauma sana.
Waliosababisha natamani kama walifanya kwa makusudi ili kutukomoa basi wawajibishwe. Ni mzigo mkubwa sana kwa walipa kodi kulipa vitu visivyoeleweka.
Naamini kabisa uongozi uliopo madarakani utafanya kila liwezekanalo kuondoa mzigo huu usiwaangukie walalahoi.
Hela yote hii kama ingewekezwa kwenye elimu ingejenga shule nyingi sana, ingeingizwa kwenye afya ni vijiji vingi vingepata zahanati na madawa bure kabisa.
Ingeweza hata kuingizwa kati ya viwanda vilivyokufa na kufufua kimoja wapo na tukapiga hatua moja mbele.