Jaribu kuwa na akili japo kidogo,mabilioni hayo ya shilingi yanayodaiwa ndiyo yale ambayo vigogo waandamizi wa chama na serikali yako tukufu waligawana na kuyapakia kwenye mifuko ya Rambo pale Stanbic Bank,hao wapambe wako unaowaabudu kama ni wazalendo kwa nini hawawakamati waliogawana mabilioni hayo na kuyabeba kwenye viroba?
Miezi 11 tangu waingie madarakani wanashindwa nini kuwataja wale wote waliohusika na sakata la Tegeta Escrow?Wanashindwa nini,au mabilioni hayo yalitumika katika kuwaweka madarakani?