Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!

Hapa tulishaingizwa cha kike, sasa tanesco itawalipia wale waliogawana na tanesco itatukamua sisi, dah!
Hapa JPM afanye kitu, tanesco kama watalipa, serikali iwakamue na kuwashtaki wale waliogawana ile pesa.
 
Kwani Tane

Tanesco isipolipa hakuna shida. IPTL hawana uwezo wa kucheza na dola. Watafanya nini? Hakuna kitu. Dawa ni kutolipa tuone watakachofanya hao IPTL.
maneno hayo unaongea ukiwa umekaa wapi mkuu?
 
Hakuna kuwalipa hao mafisadi la sivyo wakamatwe wote waliousaini huo mkataba wa kifisadi na kuisababishia nchi hasara si wote wapo na wanafahamika?

Kwani hilo lilihitaji tufike huku ndio wakamatwe? Ni sawa na lugumi inavyofumbiwa macho sasa hivi.
 
Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya inayoshughulika na migogoro ya uwezekaji, ICSID yenye makao yake mjini Washington DC, Marekani na ipo chini ya benki ya dunia.Tanesco ilikuwa ikiwakilishwa na makampuni mawili ya wawanasheria R.K. Rweyongeza & Co. Advocates na Crax Law Partners ya Tanzania, pamoja na lile la Zurich, Kellerhals Carrard. Pesa hizo zinatakiwa kulipwa kwa Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK).SCB-HK ililinunua deni la IPTL kwa punguzo la bei ya milioni 76.1 kutoka Danaharta Bankin ya Malaysia, August 2005 baada ya Danaharta kushindwa kuchukua mkopo wake kutoka kwa IPTL.

Hiyo ina maana kuwa SCB-HK imepata faida ya dola milioni 172. IPTL ilikopa dola milioni 100 mwaka 1998 kutoka kwenye kundi la benki za Malaysia ili kujenga mtambo umeme Tegeta wenye megawatt 100.

TANESCO ilifungua kesi ICSID baada ya kubaini kuwa imekuwa ikitozwa zaidi na IPTL. Kesi hiyo inahusiana na ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL iliyohusisha uchotwaji wa shilingi bilioni 306 za kitanzania.

Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.

ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.

SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1

Kutokana na gharama za riba na nyinginezo sasa TANESCO inatakiwa kulipa Bilioni 700 ZAKITANZANIA.

BILA SHAKA TANESCO WANAYAANGAZA MAISHA YETU

Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:

==========

TANESCO ordered to pay $148m over IPTL dispute


Washington-based tribunal rules in favour of Standard Chartered Bank, saying dubious payments made from the Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi do not discharge TANESCO's obligations to the bank


By Guardian Reporter

THE Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) has suffered a massive blow in its protracted legal dispute with Independent Power Tanzania Limited (IPTL) after a World Bank tribunal last week ordered the state-owned power utility to pay Standard Chartered Bank-Hong Kong (SCB-HK) $148.4 million (over 320 billion shillings) plus interest in outstanding capacity charges.

The ruling comes nearly three years since the government controversially authorised payments of over $200 million (440 billion/-) from TANESCO-IPTL’s Tegeta escrow account to businessman Harbinder Singh Sethi’s Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP).

This was after SCB-HK purchased the IPTL loan at a discount price of $76.1 million from Malaysia’sDanaharta Bankin August 2005, following the latter’s failure to secure its outstanding loan from IPTL.

The actual face value of the debt was $101.7 million, according to available evidence. IPTL borrowed over $100 million in 1998 from a consortium of Malaysian banks in order to finance construction of its 100-megawatt Tegeta power generating plant.

Under that transaction, SCB-HK was assigned a number of contracts, including the 1997 Security Deed, the Implementation Agreement and the Guarantee Agreement concluded between IPTL and the Tanzanian government. The available details show that SCB-HK also became the Security Agent under the Share Pledge Agreement and the Shareholder Support Deed.

Part of the agreement said: “As Security Agent, SCB HK holds all of IPTL’s ‘right, title and interest in and to the Assigned Contracts, including all moneys which may at any time be or become payable to the Borrower.'"

TANESCO had earlier taken its dispute with IPTL to the World Bank-affiliated International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID) for arbitration after the state-owned power utility discovered that it was being overcharged in both capacity and energy charges.

Following this move, both parties agreed as stipulated in their 1996 Power Purchase Agreement (PPA) to establish an escrow account with the Bank of Tanzania (BoT), to be used to deposit all payments pending the outcome of the arbitration.

But a few months before ICSID issued its ruling, the government controversially (and secretly?) paid all the escrow money to PAP after the company claimed that it had acquired full 100 per cent ownership of IPTL in September 2013.

The Washington-based ICSID ruled in favour of TANESCO in February 2014, ordering a tariff recalculation so that finally the escrow money could be paid to either IPTL or the power utility firm, only to then be informed that a third party (PAP) had already been paid everything.

SCB-HK took TANESCO to the ICSID after it realised that the money in the escrow account has been paid to PAP at a time when there was still another pending case over the tariff dispute.

The bank was demanding outstanding payments to clear a loan taken by IPTL’s initial owners to set up the electricity generating turbines.

The Hong Kong-based bank took over control of IPTL after the company failed to pay its loan in 2008, and has since then been fighting to recover the debt.

And after more than five years of rigorous legal proceedings, ICSID judges have now finally ruled in favour of the bank.

"The tribunal orders that TANESCO pay to SCB-HK (Standard Chartered Bank Hong Kong) the amount of $148.4 million with simple interest at three month LIBOR (London Interbank Offered Rate) plus 4 per cent from September 30, 2015 until the date of this award," ICSID said in its latest ruling.

"Interest shall continue at the same rate until full payment is received," the ruling added.

DUBIOUS ESCROW ACCOUNT PAYMENTS

ICSID also ruled that payments made by the government from the infamous Tegeta Escrow Account "did not discharge TANESCO's obligations under the power purchase agreement (PPA) and thus cannot be used to reduce the amount that TANESCO owes SCB HK."

TANESCO paid more than $120 million from the IPTL Tegeta Escrow Account to Pan African Power Solutions (PAP)under dubious circumstancesin 2013.

The escrow account payments triggered a major national corruption scandal which ultimately led to the resignations of at least three senior ministers in then president JakayaKikwete's government.

A number of other senior government officials were also charged with corruption at the Kisuturesident magistrate's court over the IPTL escrow account scam.

Lawyers representing Standard Chartered Bank at the arbitration accused TANESCO of misleading the ICSID tribunal judges by concealing facts about the payments made from the escrow account to PAP.

"SCB-HK understands that PAP used $75 million of the funds obtained from the escrow account to pay VIP Engineering and Marketing Limited (owned by Tanzanian businessman James Rugemalira) for its 30 per cent shareholding in IPTL," says part of the 100-page ruling.

"The funds held in the escrow account that should have been available to satisfy TANESCO's payment obligations to IPTL under the PPA (power purchase agreement) have therefore been paid to two Tanzanian parties - VIP and PAP - neither of whom made any financial contribution to the construction of the facility," it adds.

The ruling seen by The Guardian was dispatched to the parties involved in the arbitration - Standard Chartered Bank and TANESCO - on September 12 this year.

The ICSID is part of the World Bank Group and is funded by the Bretton Woods institution. It is headquartered in Washington, DC, in the United States.

An ICSID award is binding on all parties to the proceeding and each party must comply with it.

If a party fails to comply with the award, the other party can seek to have the pecuniary obligations recognised and enforced in the courts of any ICSID member state as though it were a final judgment of that state’s courts.

Members of the tribunal that issued the award in favour of Stanchartwere Prof Donald McRae (president), Prof Zachary Douglas (arbitrator), and Prof Brigitte Stern (arbitrator).

In the arbitration process, the bank was represented by a team of lawyers from two London-based law firms - Herbert Smith Freehills LLP and Linklaters LLP.

TANESCO was represented by a team of lawyers from Tanzanian-based law firms R.K. Rweyongeza & Co. Advocates and Crax Law Partners, and a Zurich-based law firm Kellerhals Carrard.

Habari hii imesomwa pia kwenye kipindi cha JAMII LEO..


Hivi hili gazeti LA gadian huwa ni LA nani vileee...!!!
 
Mwache Profesa wetu. Yeye aliletewa mwekezaji na wanasheria wakamthibitishia kuwa sheria zote zimefuatwa. Jaji akasema pesa zilipwe na zikalipwa kwa matapeli, majaji, mawaziri, wabunge na hata maaskofu. Mamlaka za juu zikasema pesa ni za wenyewe na wenyewe siyo TANESCO. Nina hakika profesa hakupewa hata za chai acha za mboga! Hapa tunataka kuona mamlaka mpya zitaita beleshi (spade) ni beleshi au ni kijiko kikubwa!!!!!!!!

Umekuwa mkali kama vile umekula pilipili kichaa.Mbona mie sijamshika huyo Professor wako?Mie nimeuliza leo Professor atatuaminisha nini?Ni Swali la kuhoji baada ya TANESCO na Mawakili wa Serikali yetu ya CCM kuangukia PUA?
 
Hapa pia Mahakama zinaichanganya TANESCO- Mahakama yetu iliipa PAP UMILIKI baada ya kuwa imemalizazana na Rugemarila kuwa ndo mmiliki halali wa IPTL, Bahati mbaya TANESCO wakawa washailipa PAP pesa yote bila hata kusubiri kesi yao walioshinda kwenye capacity charge.
Leo hii ICSID ime rule out kuwa mmilikiwa IPTL ni standard SBC-HK, kwakuwa TANESCO washaomlipa pesa zote PAP, kwanini PAP asirudishe hizo hele akapewa SCB-HK, kwanii TANESCO ilipe tena wakati ilishalipa? sijaliona tatizo la TANESCO-Mambo nani mmiliki wa IPTL hayaihusu TANESCO. Makosa makubwa ya TANESCO ni mawili. i kuwahi kulipipa PAP kabla hata ya kusubiri hukumu juu ya capacity charge na la pili ii. Kutosubiria mgogoro wa umiliki wa IPTL iliijue exactly inamlipa mmiliki halali
Haukuwa uamuzi wa TANESCO kulipa zile fedha sote tunajua ni nani waliamua zile fedha zitoke
 
Hivi mahakama mafisadi si imeshaanzishwa?
Inawezekana shetani kumlipa shetani lakini haiwezekani shetani kumtoa shetani.shetani amfunge shetani ilo halipo popote. Mikataba wameingia mashetani na mashetani wanapelekana mahakamani na mwisho wanalipana tu. Mnabana pua tu mahakama ya mafisadi.him nchi inapozungumzia ufisadi inazungumza lugha ya kimalaya wajinga na mazezeta yanakenua meno.we fikilia tuliambiwa pesa si za uma na mazezeta yakakenua meno na kutetea upumba.vu. MAZEZETA AYACHANGII HUMU YANAJUA UMALAYA WA WAZAZI WAO UMETUFIKISHA HAPA. POLE MUHESHIMIWA RAIS WETU MAGUFULI MAJIZI YAMEIBA PESA PEUPE KWENYE MIFUKO ANZA NA HAO WATATAJANA TU.HAWANA HURUMA NAWE USIWAHURUMIE WALA KUWALINDA TENGUA KAULI TU.MAANA YASIYOTENGUKA NIYA MUNGU TU.YA BINADAMU YANATENGUKA PELEKA HAYO MASHETANI MAHAKAMANI
 
Nasikitika sana kwa kweli,, inauma sana.

Waliosababisha natamani kama walifanya kwa makusudi ili kutukomoa basi wawajibishwe. Ni mzigo mkubwa sana kwa walipa kodi kulipa vitu visivyoeleweka.

Naamini kabisa uongozi uliopo madarakani utafanya kila liwezekanalo kuondoa mzigo huu usiwaangukie walalahoi.

Hela yote hii kama ingewekezwa kwenye elimu ingejenga shule nyingi sana, ingeingizwa kwenye afya ni vijiji vingi vingepata zahanati na madawa bure kabisa.

Ingeweza hata kuingizwa kati ya viwanda vilivyokufa na kufufua kimoja wapo na tukapiga hatua moja mbele.
Hao mawaziri na wakurugenzi walioruhusu fedha za ESCROW zilipwe kwa PAP na Singh si wapo??
Singh na wenzake wote walioamua alipwe wakamatwe, mali zao zitaifishwe tufidie deni la T ANESCO!
Wote waliochukua fedha kwa masandarusi toka Bank ya Stanbick wakamatwe fedha zirudi hakuna kuoneana haya wandugu.
Mchezo huu wa ujambazi ufikie tamati!!
 
400m×30=12bilioni,makusanyo kwa mwezi=1.1trilion,hiyo pesa ndogo sana [emoji1] [emoji1] [emoji1]

kwa mwaka ni zaidi ya bil. 140 zinaenda iptl pengne pasipo kutoa huduma yoyote... hiyo pesa inatoka ktk mapato ya tanesco...

kwa nn pesa hizo. zisiwe na matumizi mengne ya maendeleo kuliko kwenda kwa wajanja wachache kama wale wa eskrow...

Sijui tutaendelea lini! Na likiisha hili kutakuja na mengine yenye utata zaidi na tutaendelea kulipa miaka yote

mkuu.
yenye utata ni mengi.
lugumi! chenchi ya rada! shivacom! nk.
 
Huku South Afrika kuna kampuni Inaitwa TEGETA na inajihusisha na masuala hayo ya umeme. sijui inahusiana vipi na Tegeta escrow cz nayo inahusishwa na ufisadi mkubwa tu huku
 
Hivi Mkuu wale wakina Shose Sinare na Sioi si wameshtakiwa kwa issue hii,na kama ni kweli ile kesi yao inayoendelea hivi sasa uhalali wake upo wapi?
Nafikiri kesi ya kina Shose ni tofauti na hii. Kesi yao ni ya Stanbic UK ambayo ni bank ya Standard Bank SA. Hii ni Standard and Chartered Bank Hong Kongo ambayo ni British Bank!!
 
Huku South Afrika kuna kampuni Inaitwa TEGETA na inajihusisha na masuala hayo ya umeme. sijui inahusiana vipi na Tegeta escrow cz nayo inahusishwa na ufisadi mkubwa tu huku
Hata mimi nimekuwa najaribu kuifatilia ... sijui ni coincidence gani maana hiyo TEGETA nayo ina scandals kama Bongo!! Usije kuta Singasinga wa ITPL na Gupta wa RSA wanamahusianao!!
 
Mahakama na mamlaka zote lao moja, IPTL ambayo ni kampuni ya Tanzania VIP ilikuwa inamiliki just 30% na Malaysia 70% ambapo Malaysia baadae wakauzia SCB-HK , maana yake rights na umiliki wa Malaysia kwa IPTL of 70% ulikuwa transferred to SCB-HK. PAP anatokea anawaambia amenunua IPTL baada ya kukubaliana na mbia wa IPTL ambaye ni rugemalila, utambuaje mtu mwenye share ya 30% ushindwe kumtambua mtu mwenye 70% ambao ni SCB-HK? Kama PAP alikuwa kweli ana nia njema ya ununuzi wa IPTL alitakiwa amalizane na wahisani wote wa IPTL ( VIP+ SCB-HK) witnessed by Tanesco, ili pande zote ziwe sawa. Serikali inao mkataba wa ununuzi kati ya PAP na IPTL watuonyeshe walimalizana vipi?, hapa kinachofanyika mamlaka ,mahakama , PAP na wengine wote walikuwa well organized kupiga pesa hii, wakimtumia VIP mwenye 30% kuwa ndo mmiliki wa halali kuruhusu uchotwaji wa pesa.
 
Back
Top Bottom