Premise ya uzi huu ina mushkeli. Watu mnatoka povu na wengine wanachochea hoja za kipuuzi ku-deflect from real issue. Kila mtu anajua hizi "hukumu" ni za kutengenezwa.
Sidhani kama kuna suluhu kwa hili tatizo. Long as Chama Cha Matapeli kiko madarakani, kila mwaka "Mahakama za Kimataifa" zitakuwa zinaamuru TANESCO ilipe mamilioni ya pesa kwa sababu moja au nyingine. Halafu sijui huo uchumi wa viwanda utadondoka kutoka mbinguni, kwa sababu najua Tanzania haina uwezo wa kuanzisha viwanda peke yake, na hakuna mwekezaji halali atakubali kulanguliwa kwa umeme eti kusudi CCM iongoze milele.
Kitu kibaya zaidi ni kwamba hata mkipigia kura upinzani, CCM haiwezi kuachia madaraka kwa hiari, kwa hiyo unless wakoloni wanawaonea huruma na kuja kuwatimua, mtazidi kulipia umeme wa ghali kanda hii ya Afrika na bado umeme wenyewe utakuwa wa mgao.