Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Mean cursed?This country is crused
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mean cursed?This country is crused
Mkuu 10% sio haba hapa Mwenye nchi akigawana na washikaji na walamba asali wenzake.My take.
Muda si mrefu tutasikia Tanzania yashindwa kesi na DP world yatakiwa kulipa trillioni 15.
Njia mpya iliyobuniwa na wajibu ndani ya serikali kuchota kodi za walala hoi, unasaini mkataba wa kijinga ambao ni kichaa tu anayeweza kuuvumilia alafu ukiulizwa unasema tumeshindwa kesi tulipeni tu.
Halafu tunaulizwa nani yupo nyuma ya hawa watoa Elimu ya Uraia kwa watanzania!!!Tunatia huruma.
mhhh.. kazi ipo hii nchi ukiijulia kutajirika ni kufumba na kufungua macho tuShirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.
SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1
‐---------------------------------------'
Yaani sasa hivi ni mwendo wa mafisadi na madalali wa kimataifa kuipiga nchi wakishirikiana na viongozi vipofu, wala rushwa, na wanasheria uchwara/wala rushwa! Sijui tunaekekea wapi?
Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:
Hawa wanajishtaki wenyewe, kisha pesa wanagawanaSoon itakuwa Tanzania yashindwa kesi na DP world , yatakiwa kulipa trillion 15!
Hii ndiyo mbinu mpya iliyobuniwa na wakubwa serikalini kujilipa .
Msiba tena wa kichina maana tunalia wenyeweTunatia huruma.
Anaye umia ni mwanachi wa kawaida kwa kuingezewa kodi na tozoShirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.
SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1
‐---------------------------------------'
Yaani sasa hivi ni mwendo wa mafisadi na madalali wa kimataifa kuipiga nchi wakishirikiana na viongozi vipofu, wala rushwa, na wanasheria uchwara/wala rushwa! Sijui tunaekekea wapi?
Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:
Walevi wa Madaraka pamoja na chawa watakwambia ni uzushi naniupotoshaji wa kiwango cha mlima everest.Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.
SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1
‐---------------------------------------'
Yaani sasa hivi ni mwendo wa mafisadi na madalali wa kimataifa kuipiga nchi wakishirikiana na viongozi vipofu, wala rushwa, na wanasheria uchwara/wala rushwa! Sijui tunaekekea wapi?
Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:
Nafikiri naye anahusika naanza kupata wasiwasi miaka saba nyuma mambo haya hayakuwepo!Shirika la umeme Tanzania (TANESCO) limeshindwa kwenye kesi yake IPTL -Independent Power Tanzania Limited.
Hukumu hiyo imefikiwa mwisho wa wiki iliyopita ambapo World Bank tribunal (international centre for settlement of investment disputes.
ICSID imeamuru TANESCO kuilipa Standard Chartered Bank Hong Kong (SCB HK) kiasi cha dola za kimarekani milioni 148.40 pamoja na tozo riba.
SCB HK ndio walionunua mkopo wa IPTL kutoka bank ya Malaysia Danaharta kwa gharama ya dola za kimarekani milioni 76.1
Kwa habari zaidi soma the Guardian la leo:
My take.
Muda si mrefu tutasikia Tanzania yashindwa kesi na DP world yatakiwa kulipa trillioni 15.
Njia mpya iliyobuniwa na wajibu ndani ya serikali kuchota kodi za walala hoi, unasaini mkataba wa kijinga ambao ni kichaa tu anayeweza kuuvumilia alafu ukiulizwa unasema tumeshindwa kesi tulipeni tu.
Ilisaniwa na nani?Issue sio mawakili issue mikataba iliyosainiwa ndio inawabana.
Hujui ilisainiwa na nani?Ilisaniwa na nani?