Tekashi 69 na usaliti( snitch)

Tekashi 69 na usaliti( snitch)

Huenda dunia ya muziki ikampoteza kabisa rapper 6ix9ine, Imeripotiwa kuwa baada ya kutoa ushahidi Mahakamani dhidi ya kundi lake la "Nine Trey Gang" ataingia kwenye utaratibu maalumu wa kulindwa na serikali baada ya kutoa ushahidi (Witness protection) kwa kuhofia maisha yake.
.
6ix9ine akiwa chini ya utaratibu huo atalazimika kubadilisha kila kitu kwenye maisha yake ikiwemo kazi, jina, mahali pa kuishi na vitu vingine, Pia atalazimika kubadilisha muonekano wake ikiwemo kuzitoa nywele zake maarufu za rangirangi na kufuta tattoo za usoni na vyote vitaghramikiwa na waendesha mashtaka.
.
Kabla ya kukubali kushirikiana na waendesha mashtaka #6ix9ine alikuwa anatazamia kifungo cha miaka hadi 49.

CREDIT: Wasafifm
Credit wasafi?
 
Mumble rappers wengi wana usela mavi sana, halafu ni machalii wadogo tuu. Sasa kama huyo dogo alikua anafanya mambo ya ajabu ajabu unaweza ukadhan muhuni kweli, saivi kaminywa pumbu kidogo tuu anaropoka hata ambavyo hajaulizwa.

Snitch Nine amezinguuaView attachment 1213625

Hakika Clout is not the route...

Takeshi 69 he has been doing things for Fame, Money and attention...


Cc: mahondaw
 
Huenda dunia ya muziki ikampoteza kabisa rapper 6ix9ine, Imeripotiwa kuwa baada ya kutoa ushahidi Mahakamani dhidi ya kundi lake la "Nine Trey Gang" ataingia kwenye utaratibu maalumu wa kulindwa na serikali baada ya kutoa ushahidi (Witness protection) kwa kuhofia maisha yake.
.
6ix9ine akiwa chini ya utaratibu huo atalazimika kubadilisha kila kitu kwenye maisha yake ikiwemo kazi, jina, mahali pa kuishi na vitu vingine, Pia atalazimika kubadilisha muonekano wake ikiwemo kuzitoa nywele zake maarufu za rangirangi na kufuta tattoo za usoni na vyote vitaghramikiwa na waendesha mashtaka.
.
Kabla ya kukubali kushirikiana na waendesha mashtaka #6ix9ine alikuwa anatazamia kifungo cha miaka hadi 49.

CREDIT: Wasafifm
Amegoma... amesema akitoka hataki witness protection (WITSEC), anataka aendelee na maisha yake ya ustaa ataajiri 24/7 security, sijui kama atafanikiwa lakn wanavomhunt
 
Amegoma... amesema akitoka hataki witness protection (WITSEC), anataka aendelee na maisha yake ya ustaa ataajiri 24/7 security, sijui kama atafanikiwa lakn wanavomhunt
Shida zote za nini anakuwa mfungwa mtaani
 
Huenda dunia ya muziki ikampoteza kabisa rapper 6ix9ine, Imeripotiwa kuwa baada ya kutoa ushahidi Mahakamani dhidi ya kundi lake la "Nine Trey Gang" ataingia kwenye utaratibu maalumu wa kulindwa na serikali baada ya kutoa ushahidi (Witness protection) kwa kuhofia maisha yake.
.
6ix9ine akiwa chini ya utaratibu huo atalazimika kubadilisha kila kitu kwenye maisha yake ikiwemo kazi, jina, mahali pa kuishi na vitu vingine, Pia atalazimika kubadilisha muonekano wake ikiwemo kuzitoa nywele zake maarufu za rangirangi na kufuta tattoo za usoni na vyote vitaghramikiwa na waendesha mashtaka.
.
Kabla ya kukubali kushirikiana na waendesha mashtaka #6ix9ine alikuwa anatazamia kifungo cha miaka hadi 49.

CREDIT: Wasafifm
Huyu Dogo alikuwa na kazi maalumu kwa magang.Bahatimbaya hawakung'amua mapema
 
Ugangstar binafsi huwa nauona kama ungese fulani tu.

Anyway huyu dogo hata akilindwa na serikali bado, gangs zinaweza teketeza familia yake yote...
 
Sahivi dogo anashine kuliko jana,usnitch umemsaidia
 
Mumble rappers wengi wana usela mavi sana, halafu ni machalii wadogo tuu. Sasa kama huyo dogo alikua anafanya mambo ya ajabu ajabu unaweza ukadhan muhuni kweli, saivi kaminywa pumbu kidogo tuu anaropoka hata ambavyo hajaulizwa.

Snitch Nine amezinguuaView attachment 1213625
Kwanini Black community tunashabikia criminals. Nashangaa ni Akon tu ambaye amemsupport dogo kumbuka hizo gang groups zinateka na kuua mablacks wenzao na hapo hutoskia black lives matters.
 
mtoa maada huyo dogo sio wa kishua katokea ghetto tu naye kwenye familia ya chini ila anapaswa kuwa makini sana ajikende sana
 
Back
Top Bottom