Nilitarajia kukuta mtu 'more detailed' kama wewe, safi sanaLilikuwa suala la muda tu huyu dogo nadhani hili ni onyo tu ila watakuja kumpiga shaba .Aliwahi kuwasnitch wenziwe Kwa kuwataja kuwa ni madrug dealer wakati yupo nao.
Ni urembo, kama nguo wanaonawenzioDaaah. Hizi tattoo
Yaani unalosema mkuu ni kweli kabisa,hata mimi kuna nyimbo huwa nawasikia wadogo zangu sizielewi ila inabidi nielewe tu kuwa umri umenitupa mkonoKaka ndo dunia iliko mm hata miziki ya huyu dogo sijui hata anaimba nn nimeamua kuwa muelewa kuwa MUDA MM UMENITUPA MKONO
Ili avunje record.HIZO TATOO ALICHOREA SIFA
Tukubali kushindwa ni uungwana sisi tumepitwa n'a wakatiYaani unalosema mkuu ni kweli kabisa,hata mimi kuna nyimbo huwa nawasikia wadogo zangu sizielewi ila inabidi nielewe tu kuwa umri umenitupa mkono
Kulamba muachie PakaHuyu Kaka mwili wote tattoos tyuuh, mchumba wake anawezaje??
Hata kumlamba si hawezii, khaaaah
Huyu bwana mdogo watakuja kummaliza siku moja,kipindi fulani 50 alimuonya..
Acha uongo.FBI wanamlinda kila aendapo,sijui leo walikua wap?
Mawazo ya kuvunja record huwacost watu.Wengine Hadi maisha.Ili avunje record.
Uongo upi mkuu?Acha uongo.
Sasa mbona kwenye habari anasema ataomba ulinzi wa FBI inakuwaje hapo?FBI wanamlinda kila aendapo,sijui leo walikua wap?
69 bila ya ulinzi mkali atakuja kugongwa chuma tuLilikuwa suala la muda tu huyu dogo nadhani hili ni onyo tu ila watakuja kumpiga shaba .Aliwahi kuwasnitch wenziwe Kwa kuwataja kuwa ni madrug dealer wakati yupo nao.
Ni kweli Tekashi ali-snitch akapewa kifungo chepesi. Idea kwamba FBI inamlinda ni upotoshaji. Snitches huwa wanapewa option ya kuingia kwenye witness protection program ambapo unapewa identity mpya na unahamishiwa state nyingine ambako hufahamiki. Tekashi hakuwa kwenye hiyo ptogramu. FBI kamwe hawawezi kukulinda ukiamua kurudi kitaa.Uongo upi mkuu?
Tekashi ndiye mtu alieumbua gang nyingi za madawa ya kulevya na crew nying za steppers zinamwinda sana...
FBI walitangaza wao,nenda kafatili acha kukurupuka
Labda tumuulize nabii mkuuIla seriously. Ni mimi ndo mshamba? Au hizi tattoo zina kitu gani hadi mtu anajichora hadi machoni. Inakua kama uchafu sasa
Hata anachoimba hakielewekiKaka ndo dunia iliko mm hata miziki ya huyu dogo sijui hata anaimba nn nimeamua kuwa muelewa kuwa MUDA MM UMENITUPA MKONO
Haya waachie kina junia,stage ilishatutupa mkono.😂😂😂 bora wewe unamjua hata. Mi kwanza nilijua ameshakufa kuna kipindi walirusha picha mtandaoni msanii anamuonekano kama wake amekufa.
Niko nyuma kweli acha niangalie ya wanangu😂