Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Basi aje jamhuri ya wadanganyika aje kusaidiana nasi kujenga nchi.69 bila ya ulinzi mkali atakuja kugongwa chuma tu
Na bahati mbaya sana 50cent ni kama anamkubali sana dogo
Rejea beef za 50 na watu wa NY ma papa akina McGriff na wahuni wengine wa wanaotokea NY hasa pande za Queens
Tevkash his days are numbered
Wananyoosheana na vidoleHaya waachie kina junia,stage ilishatutupa mkono.
Kuna umri ukiingia club wanakushangaa ulichelewa wapi
Watu kama hao wakivua nguo hujui kama wamevuaIla seriously. Ni mimi ndo mshamba? Au hizi tattoo zina kitu gani hadi mtu anajichora hadi machoni. Inakua kama uchafu sasa
Unafikiria kulambwa tuhHuyu Kaka mwili wote tattoos tyuuh, mchumba wake anawezaje??
Hata kumlamba si hawezii, khaaaah