TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

TEKEU hakuna wahadhiri wa history,Waalimu kutoka Secondary kufundisha chuo kikuu.

Acha na kuwa na fikra mbovu na dhana potofu,sio kila unavyodhania anayefundisha sekondari hawez kuwa mwl.wa chuo,kumbuka kuna walimu wanafundisha sekondari wana phd. Mfano pale kihonda sec. school (morogoro)kuna mama mwl. pale wa kuajiriw alijiendeleza ,lakini anafundisha SUA chuo kikuu,muheshimu huyo mwl.wote tusoma vyuon humo humo

Mfano wako mzuri kweli, nitajie jina la huyo lecture wa SUA uliemtaja.
 
Unalalamika nn kati nulipata ufaulu mdogo wa kiwango cha ees, hama uje udsm kama unaubavu kama hauna ubavu kubali matokeo ya kufundishwa na diploma holder,anya way pole sana ila history haina jipya takribani maada zake ni za o and advanced

wewe utamaliza na g.p.a ya 2.1 kama ya mkuu wa kaya.. inaonekana unasoma madaftari ya a-level.. unachekesha.. kama kweli huko udsm.. akina sago na zoto..watakupa makalai ya kutosha..
 
Jamani tumefika mahala diploma anafundisha chuo kikuu? Au mzaha? Sizani kama hii taarifa ina ukweli. Kama kweli basi hicho chuo kimefariki.

For sure mtoa mada kadanganya,hajui kuwa sekondari siku hizi kuna walimu kibao ni masters holders
 
Hali ni mbaya saana hususan kwa mwaka wa pili, course kama THT 453 na THT 454 mambo hayaeleweki,kama imefikia hatua ya kuchukua waalimu wa sekondari kufundisha chuo kikuu mbona majanga? kuna mwalimu mmoja anafundisha Sinde Secondary form III Literature, eti anafundisha TEKU,chuo kikuu kufundishwa na Diploma,jamani Serikali naomba muingilie kati swala hili.Hakuna madarasa ya kutosha,TEKU wanafunzi wanasoma chini ya mti,wamekazania kujenga Hosteli kibao tena za magorofa wakati wahadhiri hawapo wala viti,madarasa na vitabu.TCU mmejichanganya vipi mpaka mnaleta wasomi wa nchi hii kuteseka huku uchochoroni?,kama hata Diploma wamekosa ajira kisa chuo hakijasajiliwa na bado hakuna kinachofanyika vipi mnataka mgomo na maandamano ndo mfunge chuo hiki? Library ni kubwa lakini hakuna vitabu vya maana.
Ndugu we soma maliza,acha kulala.Wenzio twataka kuja hapohapo.Hebu nisaidie kuulizia kozi ya Diploma in Librarianship ipo mwezi July?Maana kwenye web sioni.
 
udsm unaijua mziki wake au unaiona kwenye tv? Mwalimu wa primary afundishe udsm? Acha utani mwana mdogo.

Inawezekana sana kama aliyekuwa ofisi attendant kaweza kuwa lab scientist tena mwenye PHD kwanini mwalimu wa Shule ya msingi ashindwe kufundisha,muwe mnaangalia zile prospectus then angalia CV za malecturer utakuta wengine walianza na certificate.
 
wapo walimu wenye masters wanafundisha sekondari ,kwa hiyo muache kukariri
 
Sio sekondari tu,kuna walimu wa shule za msingi wanamasters na wana sifa za kufundisha chuo kikuu,huyu jamaa vipi?
 
Me nimefundishwa Advance na mwal wa Masters tena alikuwa anasoma PHD pale UDSM. Kwa ujumla walimu wengi hasa wale wa zamani wamejiendeleza sana
 
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.
 
Bora hao wamejiendeleza,nani kakwambia kuwa hawa wa Teku nao wamejiendeleza?
 
We utakuwa umelewa tena Pombe za kienyeji,ni mwalimu yupi mwenye masters anafundisha Primary? sidhani kama hata hiyo Masters unaifahamu,by the way,wewe umefikia darasa la ngapi?
 
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.
Ukisema kwako kunaungua kwa mwenzio jua kunateketea Kuna chuo kikuu kiko Moshi ni aibu tupu,ni chuo cha bible lakn na Degree ya Elimu ndo tunaisomea hapa ndo campus ya Wanaosomea BED ukfika hautaamin Bora shule yangu ya kata niliyosoma ina majengo mazuri noumaaa lakn mwsho wa siku Watu wanapata Degree nakuajiliwa serikali na private school majengo n kawaida cha msingi Taaluma basi!
 
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.

sizani kama upo timamu.
 
Jamani mpaka nimeandika makala haya nina uhakika,mnabishia wakati mimi nawajua mwanzo mwisho?, Wahadhiri wa ukweli wameondoka kisa Teku imeshindwa kuwalipa mshahara wafanyakazi wake. DVCAA ana majungu kama nini,kuna Walimu wengine tulikuwa nao TP mwaka jana,huko mashuleni kwao ni majanga,kwanza lugha haipandi,akiongea kiingereza utabaki mdomo wazi,yaani past tenses utazikuta kwenye future,halafu mtu kama huyo ni role model na ni mhadhiri.Hivi nyie mnaocomment mmefika chuo kikuu au mnawashwa tu? nani kati yenu amewahi kusoma hapa TEKU? Nani anamfahamu MWANDETE? Sio kulalamika tu na kukataa ukweli.kama vipi funga safari uje TEKU-MBEYA.kwanza ukifika unaweza kutapika,Reception ni banda la kufugia Mbuzi,kuna Darasa moja tu,nalo ni kama Jeneza hivi.Acha kubishia,Njoo Mbeya ujionee.

duh mkuu itabidi tuku verify aisee umeharibu jukwaa
 
Back
Top Bottom